Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna vitu vingi sielewi kuhusu mademu wa Arusha. Hawa mademu wa Arusha wanashida gani? Nipo nakunywa kaunta hapa Kuna demu ndio yupo kaunta. Nimemchombeza kidogo kajimwambafy kinoma na kaniwekea...
3 Reactions
44 Replies
13K Views
Humu kuna wanaume wanaringa kama nini. Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu. Hawana pesa wala nini wote ni shida. Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source...
17 Reactions
272 Replies
13K Views
Nasalimia kwa adabu zote stahiki. Bahati mbaya kiswahili chetu hakijawa na salama "universal" na mjadala wa "shikamoo" hatujawai kuufunga! Ila bado napigia chapuo...salaam aleikhum! Humu JF ni...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu ni mdada ambaye huwa nafukuzia ila kwa sasa anakaa Lindi Mjini Ghana Street. Sasa Leo asubuhi kanipiga kizinga cha buku tano namm kwa kuwa nina ugeni wa Dada zangu kichwa kina mambo mengi...
12 Reactions
72 Replies
4K Views
Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja. Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako...
21 Reactions
273 Replies
14K Views
Love starts with a hug, grows with a kiss, and ends with a tear. Vladimir Vladimirovich Putin alifunga pingu za maisha na mkewe Lyudmila Aleksandrovna Ocheretnaya mwaka 1983 akiwa na umri wa...
5 Reactions
36 Replies
10K Views
Sasa ni zamu ya moyo wangu,maana figo na mapafu ulishaviteka! Penzi lako ni kama hewa safi ya oxygen, inayopita katika viunga vya mwili na kuupa uhai uliotukuka! Ucheshi na ukarimu wako ni tuzo...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Tumekuwa tukiwasema sana masingle mother kwamba wakikutana na wazazi wenzao huwa wanapasha kiporo hata kama ameolewa kwingine. Mimi katika uchunguzi wangu ukweli ni kwamba mwanamke yeyote...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Hii ni independent study yangu. Nimeweza kubaini mwanamke wa kitanzania akiwa pisi kali, sio wanaume chini ya 20 watajaribu kuchukua namba kwa siku. Vile vile akiwa sura ya kawaida sio chini ya...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari za siku nyingi wana MMU? Nisipoteze muda nije kwenye mada kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana, namfahamu kama miaka minne iliyopita lakini sikuwahi kumtongoza na wala hatukuwa na mazoea...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini Wana Jamvi. Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma. Picha Ilikuwa Hivi. Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule...
32 Reactions
141 Replies
17K Views
Ijumaa Kareem! Moja ya sababu zinazofanya mwanamke amuache mwanaume kimahusiano ni pamoja na "kutoeleweka Kwa Mwanaume". Bila Shaka ulishawahi kusikia Kauli Kama hizi Kwa wanawake, wakisema...
16 Reactions
63 Replies
7K Views
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza. Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki...
4 Reactions
64 Replies
6K Views
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti. Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao...
13 Reactions
94 Replies
7K Views
Pole na hongera sana na kazi za ujenzi Wa TAIFA letu Rejea mada apo juu: #Ilikuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi na moja tarehe mbili, siku hiyo mwanangu alistahili kwenda klinick# Usku wa...
25 Reactions
228 Replies
39K Views
Nice guys wengi hutokana na malezi, maybe kalelewa na mzazi mmoja wa kike au wazazi wote, lakini baba yake naye alikuwa nice guy, kwahiyo mtoto lazima arithi unice guy. Kutokana na malezi, nice...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana,kila kundi la binadamu huongozwa na tabia tofauti tofauti,hebu chukulia huu mfano,hujawahi kuta kuna kijana ametoka familia ya kitajiri tu yenye uwezo na ana...
12 Reactions
21 Replies
4K Views
Hivi sasa watafiti wengi wameonyesha kukubaliana na jambo hilo. Wanasema kwamba, wasichana wengi hubabaika na kufanya mambo yenye kuwaumiza kutokana na hofu kwamba, muda unakwenda haraka na...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa. (Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story) Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT...
56 Reactions
426 Replies
45K Views
What is the refractory period? Reviewed by the medical professionals of the ISSM’s Communication Committee After orgasm, both men and women experience a resolution stage called the refractory...
8 Reactions
61 Replies
6K Views
Back
Top Bottom