Nahisi kabisa hapa hakuna balance kwenye suala hili,
Wanaume wanazungumziwa kwa sababu hawezi kufanya kitu mpka isimame ila mwanamke anaweza kufanya mapenzi anytime ili mradi mwanaume...
Wakuu wikiendi iliyopita nilienda bar moja hapa mjini.
Katika kuangaza macho yangu jicho likatua kwa mrembo mmoja hivi sio mkali kivile ila alinivuti.
nikaamua kumkaribisha ili aje tujumuike...
Imekuwa ni desturi kwa watu walio wengi, hasa kwa wanaume waliozaa nje ya ndoa, kutokuwaweka katika listi watoto waliozaa nje ya ndoa.
Kama wataulizwa mbele za watu; wana watoto wangapi? Watajibu...
Wakubwa habari ya mihangaiko..
Kijana wenu nimekuja nahitaji msaada wa kimawazo hapa kidogo naamini wapo wazee wenye hekima nitapata msaada.
Awali ya yote mimi ni kijana wa middle 90's nina...
Naamini wote wazima wa Afya. Miezi miwili iliyopita nilipigiwa simu kwamba mdogo wangu analia sana yupo stress hata kula hawezi kisa Mwanamke kamuacha. Nikaona ni heri niende kuonana naye...
Salute wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 27,kipindi na soma chuo niliwahi kutongonzwa na binti ambaye alikuwa tayari ana mtoto sikuona kuwa ni shida maana kila nlipo kuwa na hamu nae alinipa bila...
Hello Habari gani wanajamvi la MMU.
Eeh bhaa kuna kitu nilikuwa nakisikiaga tu ila naanza kukiamini. Ishu iko hivi. Hivi kwa mfano mke wako yeye anapenda kutizama Muvi za kibongo kama Vile...
Chochote unachokifanya huwa kina matokeo; matokeo yanaweza kuwa mazuri au mabaya. Itategemea na namna ulivyokipangilia. Pia kuna kitu nimejifunza, ukiwatendea watu wema ipo siku ule wema wako...
Salamu wanajukwaa,
Baada ya salamu nijielekeze kwenye mada. Kuna kijana hapa alikuwa kwenye mchakato wa kuoa, amechumbia, amelipa mahari kama M 1.5 na maandalizi ya ndoa yalikuwa yamepamba moto...
Habari zenu wanajamii wenzangu.
Nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na hyu binti kama mwaka na miezi kadhaa. Ila sijawahi mgusa, na kila nikiomba uwa anasema nisubiri, hii hali imenichosha sasa...
Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa...
Hivi namba ya watu ambao umewahi lala nao either kama one night stand,casual hook-ups, friend with benefits au mahusiano ya kawaida inaweza husika kwenye mahusiano mapya? Mfano: mpenzi wako mpya...
Wasalaam,
Wanawake wengi haijalishi ana kipato kiasi gani kwa ujumla wao hawapendi kulipia huduma mbali mbali wanazopata. Na hapa wala tusiwalaumu kwasababu kiasili mwanamke hakuumbwa kutoa bali...
Nakumbuka mwaka 2001 enzi hizo bado niko shule ya msingi katika mji mmoja hapa Tanzania baba yangu ambae alikuwa ni mfanyabiashara wa toka enzi za Nyerere na aliyekuwa kwa kipindi hicho akiitwa...
1. Humwambii kitu na kwao, haswa bibi yake anapoumwa.....yupo tayari hata kukopa nauli akamuone
2. Kila akirudi huko kichwa kinamuuma lkn ndo anapenda kwenda hatari
Kuna nini hapa?!!!! Nimeanza...
Reuters - April 9, 2009
RIYADH (Reuters) A Saudi man has divorced his wife by text message, a newspaper said on Thursday.
The man was in Iraq when he sent the SMS informing her she was no...
Wanawake huwa mnaumia kwa upumbavu wenu wenyewe, you need true love but you engage in dating with fake people kisa tu ni handsome au ana pesa na gari while thats every cheap girl's dream. Wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.