Habari wana JF
Katika viumbe ambao nawasoma saikolojia yao iliyowashinda wanasayansi ni mwanamke.kwanza kabisa
1. Mwanamke hajui anataka nini hapa duniani
2. Anapenda sana wanaume wababe na...
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje? Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date...
Huyu rafiki alioa mke wake toka kijijini.
Mwanamke alikuwa anampenda Magufuli na sera zake balaa
Ilivyotokea Magufuli anasema tuzae elimu ni bure,fyatueni tu watoto ,huyu shemeji yangu...
Kwangu mimi kuwa na marafiki sio kipaombele kwangu,watu wote wanaonizunguka nawachukulia kama dada, kaka, shangazi, mjomba n.k,
Yaani mtu yeyote aliyekaribu na mimi namchukulia tu kama brother...
"Leo ukiniambia nguzo za umeme zitanunuliwa nje ya nchi, unamaana vijana wangu wote waliopo Iringa, songwe, Tanga wote wamepanda miti wakose fedha?
Watakapokua na hitaji la mapenzi watafanya...
Habari Wana Jf wenzangu
Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa na rafiki mmoja hivi wa kike...
Naomben masada wenu wa mawazo
Nimeachika ninawiki sasa ninawatoto 2 mmoja ana 7yrs na mwingine ana miez 8 sasa. Naomben masada wa mawazo nifanye nini kwa sasa ili nijikimu kimaisha?
Nina nurse...
Inauma sana kumuona yule unayempenda akitoa penzi kwa mwengine hasa akiwa adui yako, nazungumzia unaempenda kweli kweli sio hawa ambao tupo nao ilimradi tu.
Basi kuna kisa kimempata rafiki yangu...
Nakutafuta Annrosse. Ni wewe tulikua tukiongea kwenye simu zamani sana. Ilikua miaka ya 2004. Ulikua ni ule msimu wa simu za bure Zantel tukiwa bado watoto Annrosse. Kuna siku nilikosea namba...
NASAHA NA TARATIBU ZA UKEWENZA
1. Ukiwa katika ukewenza kumbuka kuwa hiyo ni ibada. Chunga adabu za ibada hiyo.
2. Chukua lililo haki kwako na jiepushe na kudhulumu haki za wenzako
3. Usiibe...
Habari wakuu,
Kwa ufupi, nimekuwa nikifanya punyeto kuanzia 2003 mpaka February 2019. Iliniathiri sana kisaikojia na imenivurugia malengo yangu kwa kiwango kikubwa, wengi wanaofanya wanajua...
Wakuu huyu shemej yenu siku hiz anaishi hapa kwangu
Ilibid nimruhusu sabab kuna tukio nilifanya sasa kujipendekeza kwake tena nikaona nimtunuku shauku yake ya siku zote ya kuish namim, hata kama...
Wakuu wa MMU habari za sasa,
Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.
Wakati mwingine natoka Geto...
Kama kawaida nlikutana naye kwenye mizunguko ya kawaida tu, nikaomba namba akanipatia.
Njia aliyokuwa anaenda yeye nami nilikuwa naenda huko huko,njiani tulikutana na mdada tu, ambaye kwa...
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,
Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili...
Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na...
Binafsi mwezi huu wa tatu hivi karibuni nilisafiri kwenda mkoa X ila ni ndani ndani mpakani na Msumbiji huku.
Kwakuwa ni kwa kaka yangu sikua na mashaka kwenda, bro ameshaoa tayari na pia ana...
Mods nimekosea jukwaa, naomba mhamishe kwenye jukwaa la Tech.
Wadau kwema?
Ninahitaji kuchukua Smart TV, aina ya Star X inch 43
Ninaomba ushauri kuhusu ubora wake na changamoto zake na namna...
Mwaka mmoja umepita nikiwa siwezi tena kusikia cheko lako huku utani tuliokuwa tunataniana ukichukua sehemu kubwa ya mawazo yangu. Ni mwaka mmoja sasa toka umalize mwendo kwenye sayari hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.