Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwema ndugu zangu?! Kama ilivyo ada, mimi ni mzima wa afya njema namshukuru Mungu kwa hilo. Ndugu zangu Waislam nawatakia Ramadhan njema, Wakristo nawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka hapo...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Hello,natumai wotee ni wazima wa afya njema kabisa Nahitaji kufaamishwa tabia asa za hawa wanaume kutoka mkoa wa mtwara wilayani masasi Please naomba nifaamishwe,
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Imeshaandikwa katika vitabu vitakatifu mwanaume anaweza kuwa mpaka na wake wanne kwa mpigo, maana kwa jinsi mwanaume alivyoumbwa kaumbwa kuweza hili. (hata kwenye Biblia kuna manabii wengi sana...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Nilishasema HAPANA! Mwanamume anauwezo mkubwa wa kifikra na kiutendaji, hivyo upishi ni jambo dogo kwa mwanamume! Upishi si msingi wa maisha ya mwanamume. Hata akiwa na miaka 35, akiwa na...
2 Reactions
10 Replies
741 Views
Mtindo wa maisha wa kidijitali umeathiri karibu kila nyanja ya maisha yetu. Na hiyo inajumuisha uzazi. Siku zimepita ambapo watoto waliadhibiwa kwa makosa yoyote. Badala yake, mkazo wa malezi...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
copied but ni real life story
9 Reactions
74 Replies
4K Views
Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more. Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo. Siitaji.
15 Reactions
137 Replies
6K Views
Hivi hii code inamaanisha nini? Niliwahi kuwakuta jamaa fulani wanazungumza maongezi yaliyoonekana nyeti mno kwa lugha ya kiingereza. Nilichoambulia ni hiyo code kwa sababu walikuwa wakitamka...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Yaani siku hizi imekuwa too much sasa Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye...
13 Reactions
98 Replies
5K Views
Anaandika Sudi Mgolozi Wengi mnauliza kama mwanamke anaweza kumtamani mwanaume akamwambia, Ndiyo inawezekana ila wapo wasichana wachache wenye kufanya hivyo. Mimi ilishawahi kunitokea zamani...
3 Reactions
34 Replies
9K Views
Wanajamvi yale Mapenzi ya Kihindi ya kuchat na kuongea muda wote, kuishi pamoja, kusaidiana pamoja,kutembea pamoja, kula pamoja, kuoga pamoja, kunya pamoja na kutawazana yanapotea kwa kasi sana...
16 Reactions
79 Replies
4K Views
Habari zenu wana, Siku kadhaa zimepita nilikua matembez maeneo ya bububu Zanzibar, nikakutana na binti mmoja nikaomba namba akanipa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hiko hivi, Nimepata masimulizi kutoka kwa jamaa yangu sana yanayomsibu. 1. Ni mtu wa moyo Safi, Ila atawale aliowasaidia wanamuona nonsense kwa sasa 2. Anasema wakati fulani anasaidia kutoa...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
INASEMEKANA: _*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima. *Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2. _*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa...
2 Reactions
11 Replies
725 Views
Habari! Ni mshkaji niliefahamiana nae mwaka jana na tuna miezi kama tisa kwenye urafiki, ila mdomo wake unatoa harufu mbaya tukiwa katika katika mazungumzo. Sijajua shida ni hapigi mswaki vizuri...
8 Reactions
68 Replies
6K Views
Habari ndugu na jamaaa wote, Naombeni msaada wa kiakili na kimwili hadi kiroho kuna bint nlimpenda na yeye akanionyesha upendo wajuu sana. Ilipo fikia hatua yakutaka kuoana hapo ndio ikawa...
4 Reactions
79 Replies
6K Views
Habarini wazee Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa...
11 Reactions
79 Replies
5K Views
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo. Unakuta -Mke anakunyima game maksudi kabisa - Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa -Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma. .... Na hurusiwi ongeza mke. hii...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Hii mbinu itamfanya mwanamke kuogopa kuchepuka kwa kuhisi kuwa ataonekana kuwa mchafu kwa mchepuko wake. Kwa wale wanaume wanaosafiri safiri sana, yaani kuwa na mkeo inakuwa mara chache, sasa...
5 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom