Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nilikosa kosa risasi kisa mke wa mtu. Namkumbuka na picha yake ninazo. Sasa kuna mtandao mmoja unaitwa mygamma.com nilipata msichana mmoja anaitwa Riziki, nikamdanganya nasoma IFM Kumbe nilikuwa...
6 Reactions
65 Replies
9K Views
Imagine mwanaume upo bar unakula bata kama kawaida na kuwalipia marafiki waliokuzunguka pia, lakini kuna sehemu umetelekeza Mtoto damu yako kabisa na hujui anakula nini, anavaa nini anaishije...
19 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari zenu watanzania, mnaendeleaje Na shughuli za kuchapa kazi tuu Matumaini yangu ni kwamba hapa kuna ma expert wa Ku womanize ,yaan wanajua mpaka wanakela, akimsimamisha demu TU sekunde mbili...
7 Reactions
118 Replies
21K Views
Wakuuu baada ya kuona uzi wa mwenzetu mmoja unaogusia baadhi ya watu ndugu, jamaa na marafiki wakisha pata nafuu kutzidi wengine wanavyo jibu au kuleta madharau kwa kina sie ambao bado tuna...
2 Reactions
10 Replies
758 Views
Jamani bila maneno mengi mi kuna suala moja huwa nashindwa kujizuia kama nimeambatana na mpenzi wangu akipita demu mkaliii au mwanamke mkalii hasa aliyefungasha , najikuta naibia ibia jicho...
7 Reactions
80 Replies
9K Views
Nimefanya research ya kutosha Nilichukua sample spaces kutoka mataifa ya Tanzania Rwanda Burundi Kenya Uganda Kilichonisukuma kufanya research hiyo ni kwasababu ya story nyingi mtaani kwamba...
9 Reactions
165 Replies
19K Views
Maisha ya Tanzania yetu haya Juzi nimetua bongo kwa likizo yangu fupi, nikaamua nipande tu daladala, imejaa sana. Kuna mdada nilisimama naye ndani ya basi (ujue mtu ambaye hajazoea shida...
10 Reactions
108 Replies
12K Views
Jana nikakaa nakula bata na mchepuko wangu mwanajeshi. Akaja bro mwanajeshi mwenzie akampa ofa za serengeti lite 10. Alivyoondoka tu tukaanza kumjadili. Nikaambiwa ana hela za kutoka kulinda...
28 Reactions
244 Replies
11K Views
Uzima upo? Niende kwa mada, ukiwa aina ya mwanaume mtanashati, hutaki mazoea, hujali n.k, yaani aina ile ya mwanaume hata mwanamke kusalimiwa na wewe anajisifia na kujiona ana bahati sana. Sasa...
14 Reactions
73 Replies
4K Views
Fikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma Kwa kweli ilibidi nijipe...
9 Reactions
80 Replies
8K Views
Habari wakuu Je, umewahi kupitia bullying kutokana na maumbile au muonekano wako, ni namna gani iliathiri saikolojia na maisha yako kiujumla na je ni namna gani ulipambana na tatizo hili...
36 Reactions
222 Replies
15K Views
Ufahamu wa mtoto tangu akiwa mdogo anaanza kuongea ni kama bank account, unachohifadhi ndicho unachovuna. Watoto wakianza kuongea wanakua na maswali mengi, hii ni asili yao ya kutaka kufahamu...
19 Reactions
38 Replies
2K Views
Kuna mdau aliandika uzi hapa akimtafuta x wake, na jmleta uzi ameandika kila kitu kwa uwazi pasipo kutumia code. Huyo x wa mleta mada ameandika hadi utam aliokuwa akiuoata kwa kutoka kwa mwali...
11 Reactions
97 Replies
5K Views
Nakamaliza taratibu za surrogacy na soon ntapata mtoto, ili niendane na ile kauli mbiu ya kuwatafuna tu wanawake, hakuna mda wa kuoa ni mwendo wa surrogacy na kuwatafuna wanawake
1 Reactions
110 Replies
9K Views
Dah! Wakuu, mitihani ni mingi jamani hawa wanawake zetu hawa. Niko mbali na home umeme umeisha, bint/slay queen anatuma msg LUKU imeisha. Yeye kashinda home toka asubuhi yaani anashindwa nunua...
47 Reactions
166 Replies
11K Views
Wanajamii nina kitu kimoja mnipeni mbinu ya kuumkataa mshikaji wangu ambae naona hana faida kwangu bali ni kupe. Picha linaanza huwa ananishawishi sana kwenye sehemu za bata ili hali yeye hatoi...
12 Reactions
89 Replies
5K Views
Kwema? Mwanaume mwenzangu mwanamke anayekupenda kweli kabisa kutoka moyoni hakuombi helaa niamini mimi na ata akikuomba hela hakuombi direct kuna maneno tuu atakuambia alafu utajiongeza na ni...
23 Reactions
84 Replies
5K Views
Inasikitisha sana kuona wazazi wanazaa tu kisha kuacha watoto wajilee wenyewe. Dunia ya sasa imeharibika, hii imetokea juzi nikiwa nimelala zangu mchana majira ya saa saba, nikiwa kwenye usingizi...
19 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari zenu, Leo sina maneno Mengi ila ni kuwajuza tu kuwa Mimi Decor Bysco nikiwa na akili zangu timamu, Ninasimama mbele ya umati huu wa JF nikisema kuwa SITOKAA NIOE. Hii ni kwa sababu...
38 Reactions
206 Replies
14K Views
....Natumaini mu wazima wote.... ....Hapa ninapokaa, kuna nyumba nyingine iko karbu yangu... ....Kila siku saa nne au tano, naskia ngu ngu milio ya kitanda... ...Jamani ni kila siku iendayo kwa...
5 Reactions
182 Replies
25K Views
Back
Top Bottom