Unakuta mwanamke amekosana na mmewe halafu anachukua maamuzi ya kukata mawasiliano ya vikojoleo ambavyo havina uhusiano na ugomvi wao. Yanini kukataa kumpa mmeo tendo la ndoa na unabaki ndani ya...
Wengi tunajua mahusiano ni gharama, hasa kwa upande wa wanaume. Kutumia maelfu, milioni n.k ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano.
Mbaya zaidi, ufujaji wa hizo fedha hauendani na uingiaji wa hizo...
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Nataka kuanza mazoezi nimekua kama mdudu wapendwa,kuna ka gym karibu na goli langu hapa ila sasa huwa nawashahudia ile miili jamani...mmh..nyie
Inahitaji kujitambua sana kuiacha kama ilivyo.
By...
Yaani unakuta Mwanaume unampikia, unamfulia, unamuogesha na mapenzi unampa kama yote. Lakini sasa hizo dharau wanazotuletea hadi unatamani kulia. Ndio maana mimi mwenzenu natoka na Wanaume...
Wanawake wasio na Kazi wanakuwa hawana mambo mengi. Ukitoka kwenye mihangaiko yako anakupokea na kukukaribisha Nyumbani kwa furaha. Utakuta chakula kishaiva, utakuta Watoto wasafi kama mmebahatika...
Ni swali fikirishi kidogo, sijui jamii yetu hii inaelekea wapi kimaadili.Sijui mambo ya usasa zaidi kwa baadhi ya mama zetu na baadhi ya vijana wetu.Hali sio shwari kabisa kwenye jamii yetu kwa sasa
Wakuu nipo dilema msaada wenu wa hali unahitajika
Baada ya kumfukuzia huyu mwanamke kwa takribani ilikuwa mwaka mzima alikuja kukata shauri na kunitunuku papuchi iliyoshiba imevimba, kitumbua...
Nataka niwaulize Dada zangu manake kuna siku nilikutana na kiteenage kimoja kina shape, mguu wa haja chuchu zimesimama af kilaini hatari, kilikuwa kimepiga pamba nyepesi niliangalia Mapaja kwa...
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa...
Ni single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa.
Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio...
Habari wana bodi
Ningependa niwape story yangu fupi ya maisha ambayo imepelekea hapa nilipo hii leo, miaka 3 iliyopita baada ya kufeli mitiani yangu ya kidato cha sita nilikosa kabisa shughuli ya...
Ni mwezi sasa tanguu huu mkasa unitokeee yani kila nkimgegeda mke Wang hawa na hawa paka wanafanya mapenzi na wanatoa sauti kama ya wifee
Mke Wang akikojoaa tu na yenyewe yanalia kwa...
Habarini
Leo napenda kuongelea suala zima la talaka kwa kipindi cha hivi karibuni au siku hizi kinachukuliwa kama fashion yaani mtu anadai talaka ili tu jamii imuone yeye ndio kaacha na sio...
Hi!
2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea...
Wanabodi,
Kama umeoa au umeolewa na mume au mke wako upo naye mbali kikazi basi unatakiwa usali sana, maana mambo yanayoendelea katika ofisi nyingi miongoni mwa wafanyakazi ni balaa. Kuna...
Ni kweli umempenda kwa dhati? Wakati mwingine watu huanzisha mahusiano kwa kuwa wamezoea kuonana tu kila siku ofisini, kupeana lunch na zawadi ndogo ndogo hivyo huhisi kuwa amempenda...
Dada Zangu na Wadogo Zangu wa kike Nawapa Ushauri wa bure.
Acheni Kuingia kwenye Toxic Relationship dada zangu siku hizi wanaingia kwenye relationship na mwanaume kwa kuangalia Muonekano au...
Habari wana jf poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Leo katika pitapita zangu nimekutana na hivi vitu nikaona bora na nyie niwashirikishe maana vizuri kula na mwenzako
1. Mwanamke...
Yes he broke your heart.
Naam yawezekana aliuchubua moyo wako ,mithili ya mchinjaji anayetayarisha nyama kwa ajili ya walaji wenye uchu.
Na yawezekana kwa sababu umeonesha kila dalili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.