Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
2 Reactions
6 Replies
610 Views
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti. Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye...
61 Reactions
178 Replies
12K Views
Sifa muhimu za kuoa kuanzia 2021 na kuendelea, awe bikra, atoke familia isiyo masikini na awe chini ya 26yrs! Mwanamke ambaye ana experience zaidi ya miaka kumi kwenye mahusiano na wanaume...
5 Reactions
126 Replies
13K Views
Poleni na majukumu wakuu. Nipo kwenye mahusiano ya kirafiki na binti mmoja hivi kwa miaka mitatu sasa. Ni binti ambaye tunaelewana sana karibu kila kitu. Tunasaidiana, tunashauriana, tunapendana...
9 Reactions
44 Replies
5K Views
Kwanza namshukuru Muumba wa mbingu na dunia. Baada ya kutoa shukurani zangu za dhati napenda kuwatakia maandalizi mema ya Sikukuku ya Christmas ya mwaka 2021. Kwa wale ambao sherehe hii kwao...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu, Binafsi mimi wazazi wangu wote walishanipa ushauri japo ilikuwa kiutani Ila meseji ili delivery Kwa wakati tofauti, Father alishawahi nishauri mambo machache kuhusu mahusiano/wanawake 1...
10 Reactions
71 Replies
6K Views
Content unavailable
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama ni madawa, sasa naona yane expire. Huyu mama wa watoto wawili, mkubwa ana 27 na mdogo 24, sijui ilikuwaje nikajikuta tu mikononi mwake, tangu siku hiyo nikajikuta nampenda kichizi. Nikahama...
13 Reactions
98 Replies
5K Views
Tofauti alivyokuwa mwanzo na sasa kiukweli kuna dalili nimegundua mahaba na penzi nililokuwa nakipata toka kwa mpenzi wangu limeshakufa yaani kuna dalili zinaonesha hapa tiyali nimechokwa lile...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Eti nauliza mtu akitaka kujua kuwa huyu mume nilie naye ananipenda first of all nini kinamfanya mtu adhibitishe kuwa anapendwa. Kwa maana leo badala ya mume wangu kunipeleka hospitalini ananipa...
6 Reactions
62 Replies
4K Views
Nyakati zimebadilika; nyakati za sasa zinahitaji uwe na rafiki wa faida na sio rafiki wa kupiga tararila (maneno maneno). Pia tukumbuke, maisha yanahitaji pesa na sio maneno. Kwa mazingira...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda. kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi...
9 Reactions
141 Replies
8K Views
Habari za humu JF KAZI IENDELEE! Kiukweli mie sio muandikaji mzuri au mtu wa kuelezea jambo kwa urefu sana tena ki ustadi ila acha tu niandike mtajua namna ya kunielewa. Nina miezi 6 toka mke...
21 Reactions
124 Replies
11K Views
Huu upuuzi sijui alianzisha Nani, kwamba kifo cha mende ni mkao wa watu wenye Maadili na kustaarabika. Kiukweli, [emoji117]kuna wanawake huona mikao mingine kama utovu wa Maadili kwa mwanaume...
22 Reactions
145 Replies
17K Views
Mkaka full handsome ila ubahili zaidi ya Bodi ya Mikopo.
7 Reactions
52 Replies
7K Views
Hakuna mahusiano yaliyo balance 50/50. Lazima kuna upande unaogharamia/wekeza kwenye mahusiano zaidi ya upande mwingine. Anayewekeze zaidi kwenye mahusiano ndiye anayemuhitaji mwenzie kuliko...
7 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimekaa kwenye hii nyumba tangu 2010, nilipohamia hapa haka kabinti kalikuwa ni kadogo mno, sasa kako sekondari form 1. Jana jumapili sikutoka ndipo kakaingia ndani, jumamosi nilikuwa nimejilipua...
15 Reactions
87 Replies
46K Views
Hivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana. Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo...
12 Reactions
176 Replies
8K Views
Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a “a little help from ur hand” (kupiga puri au punyeto sounds manly) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake tufanya hivyo ila wengi wetu huwa hatuko “comfortable”...
2 Reactions
249 Replies
57K Views
Back
Top Bottom