Ni njia inayotumika kuzuia mimba, unapokaribia kumwaga unaichomoa umwage nje.
mtoto wangu wa kwanza ndie alikuwa gharama ya kujifunzia hii njia nikiwa bado hata sijamuoa mama yake ambae ilinibidi...
Salaam wadau & wadada wa Jamiiforums
Kwakwel wadada mumetuharibia kabisa maana halis ya mapenzi
Ngono tofaut kbs na mapenzi,
Mapenzi ni bora zaid ya Ngono
Yani neno I love you sik hiz unajua...
Yaani naonekana mimi mbaya kwa kukataa mke wangu kwenda Machame? Nilileta nyuzi juzi kati hapa, na ninavyoandika hapa wife yupo Masasi anarudi Jumatano. Sasa kuna kaka zake wamenipigia simu...
Wakuu pole na majukumu...
Kama mada inavyosema hapo " hamna mwanaume mwenye kibamia"
Baada ya kuona hii trend ya dada zetu kujiingizia vitu huko sehemu zao vitu kama chupa za soda wengine chupa...
1. Katika mahusiano epuka kufanya investment yeyote kwa mpenzi wako ambae hujamuoa au kuolewa au Hamjapata mtoto
2. Epuka kumtambulisha mpenzi wako kwa ndugu au marafiki mpka ikitokea siku umempa...
Happ belated new year esteemed members of JF. Hope all is well with you and your family.
As the title says hereinabove, let's mention at least five things which disappointed you in your...
Habarini!
Najiuliza sana hili swali nashindwa kupata Majibu kulikoni sasahivi imekua very easy kufanya Mapenzi na mpenzi wako mpya yaani anaweza akakubali asubuhi, mchana akaja mkafanya yenu.
Au...
Mtoto wa kwanza inavyosemekana ndio kila kitu kwa maisha yako ya hapo baadae. Inapotokea umechelewa kupata mtoto wako wa kwanza, huko mbeleni kuna changamoto kubwa sana za kimaisha zinaweza...
Habari za saa hizi ndugu zangu. Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo
KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila...
Wakuu habari za Leo! This is true story.
Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja...
Tembea mkoa wowote, wanawake 98% utakaokutana nao wana uzuri wa dukani, aidha wana kasoro kwenye nywele au kichwa kibaya (chogo na komwe), hivyo huvaa mawigi (weaving) ili kujinusuru na aibu...
Habari ya usiku huu.
Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika...
Umeumizwa? je umeumizwaje
Ume-enjoy? kivipi.
Umeacha au kuachwa?
Binafsi huu mwaka umekuwa mzuri kwangu nime-enjoy sana, baby amenituza, amenipa mapenzi Kama yote, naomba na 2022 huwe ivyo...
Habari wadau?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu...
Kabla ya yote busara na hekima zenu zinahitajika katika kulitatua hili.
Mahusiano yao yapo katika hatua ya uchumba lakini dosari ni kuwa baba mzazi wa familia ya mtoto wa kike anavuma kwa...
•Bila shaka haipaswi kuwa siri baina ya wanandoa, lakini kuna baadhi ya vitu ambavyo mwanamke hapaswi kumwambia mume wake, hata kama wanapendana kiasi gani
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu...
Habari za mwaka mpya
Ukishakua jamiiforums basi elewa kwamba umezungukwa na marafiki wengi sana tofauti tofauti ni jambo la kujivunia kwa hakika
Kijana mwanauume embu kuwa na uwezo ambao Mungu...
Habari wanajamvi,
Acha niongee maana penzi limenikaba koo sifurukuti. Natamani kuhadithia raha nazopata jamani, sikuwahi dhani kuna mapenzi matamu hivi hasa kutokana na kutendwa huko nyuma...
Aisee ukishangaa ya firauni utayaona ya Musa.
Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.