Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Can Obd2 Code Reader inauzwa Kinafanya kazi kwenye magari ya kuanzia mwaka 1996.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa wanaitaji samaki sato na kambale wa kufugwa bwani !ni fresh navua siku moja kabla ya kupeleka mzigo (delivery) napatikana dar es salaaam bei Tsh 7000 per kg Karibuni
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Mimi ni mjasiriamali natengeneza makapeti nipo Moshi. Naomba kama kuna wadau wenzangu tupeane dondoo za masoko. Tuko pamoja
0 Reactions
4 Replies
924 Views
nauza dishi la azam tv lipo full kabisa bei 75000 nipo gongolamboto no zng 0745488915
0 Reactions
3 Replies
2K Views
laptop mpya ya Lenovo ideapad 310 (80TU00DKIN) inahitajika mkoa wa Tanga.
0 Reactions
2 Replies
657 Views
Tuna peana offer hii kwanzia Taree 17/12/2018 adi taree 01/01/2019, kwa wasanii ambao wanaanza mziki, Wowote iwe Gospel, au nyimbo za mapenzi, EMB RECORDS ipo inchini Kenya, Nairobi Street, ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
LOCATION :CHANGANYIKENI SPECIFICATIONS: 3 BEDROOMS INCLUDING 1 MASTER-ROOM, KITCHEN, STORE, AND PUBLIC TOILET. QUALITIES: GYPSUM, TILES, SECURITY, PARKING WATER AND ELECTRICITY. PRICE :800K
1 Reactions
4 Replies
1K Views
"THE NETWORK" Tunaleta huduma mikononi mwako. Habari wakuu..! katika pitapita za kimaisha nmekutana na hali ambazo ninakuwa na uhitaji wa kupata huduma flani kwa haraka pasipo kujua jinsi gani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna jamaa yangu anahitaji xtrail namba D yenye hali safi na bei reasonable. Kama yupo namuomba inbox
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Sasa unaweza kulinda vifaa vyako vya umeme kama simu, computer, friji na mashine nyingine za umeme tumia nano protech spray itakayolinda kifaa chako kwa mwaka mzima. Tunapatikana mtaa wa ungoni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, natafuta injini ambayo itafiti kwenye KAWASAKI KMX200,ina ukubwa kama Baja, sasa niweke injini ipi yenye nguvu nzuri , iwe ya kichina au kijapani, na kama bei inafahamika naomba kupewa majibu
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Habari za majukumu ndugu, Nimepata changamoto kidogo, nauza mbao zangu zilizokua site kwaajili ya Ujenzi. Nimeamua kuuza ili kutatua changamoto binafsi nilizo nazo za kifamilia. IDADI YA MBAO 2*2...
1 Reactions
16 Replies
11K Views
Habari zenu wakuu..Nina vifaa vya ujenzi(used) nilinunua toka UK kwa ajili ya biashara ya kukodisha. Kwa bahati mbaya yule aliyekuwa asimamie biashara hiyo alitangulia mbele ya haki, hivyo...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
. . . . . . . .
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei million 14 Inahitaji overhaul engine Namba 0759812567
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Habar ya kazi wakuu,natafuta zile machine za kuprint t-shirts na cups nipo dar maana kuna siku nilizunguka sana k/koo nikakosa,msaada wapi nitazipata:rolleyes:
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba iko temeke na imatizamana na uwanja wa Taifa Pako vizuri kibiashara na kwa sasa kuna bar na nyumba za kupangisha Bei 650m Bei hii ina maongezi Maongezi zaidi au kuja kuona wasiliana...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunauza vifungashio vya bidhaa kama vya Sabuni,Rotion,Jam,Pinut butter,Shampoo,Unga nk.printing pia ipo.Darasa linaendeshwa online through Whatsup group no.+255 713262188 kwa Ada ya 10,000/= na...
4 Reactions
47 Replies
31K Views
Nimenunua godoro si zaidi ya miezi minne iliyopita la banco , lile la size ya mwisho. Niliamini Super banco ni zuri na wametoa guarantee ya mwaka. Lakini, sasa hivi ni chanzo cha kuamka shingo au...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Back
Top Bottom