Kama heading ilivyo nina eneo la kiwanda maeneo ya Kisarawe eneo lililoteuliwa kuwa la viwanda ,nina sqm 5000 ikiwa na document zote za serikali ,eneo lipo umbali wa km 8 kutokea kiluvya ,liko...
Habari zenu wakuu..Nina vifaa vya ujenzi(used) nilinunua toka UK kwa ajili ya biashara ya kukodisha. Kwa bahati mbaya yule aliyekuwa asimamie biashara hiyo alitangulia mbele ya haki, hivyo...
MSIMU HUU SIKUKUUU DRAGON MABATI INAPENDA KWANZA KABISA KUWATAKIA WATANZANIA WOTE NA WATEJA WAO WOTE MAANDALIZI MEMA YA SIKUKUU YA CHRISSMASS & MWAKA MPYA 2019 NA PIA KUWAKARIBISHA WATEJA WETU...
**INAUZWA**
Sony Experia Z3
Display 5'2 | ram 3gb
Network 4G | Storage 32gb
Camera 20.7mp LED Flash
Ina Grove mode
(una touch hata kama Umevaa groves)
Battery 3100mAh
Price 220k
Je unawazo la biashara?je unahitaji professional support kubadilisha wazo lako katika bidhaa itakayokupa faida? Ennovate incubation program ni fursa kwako leo kukamilisha ndoto zako. Jiunge nasi...
Specification
Ram 2GB
Hard disk 150 GB
Processor duo core intel inside
monitor (samsung inchi 19)
unapata kila kitu
Mouse
keyboard
Power na VGA
offer
utapata modem universal free kabisa
Bei...
WAKUU,
Nina laini ya wakala ya Tigopesa ambayo niliinunua kwa mtu.
Nimeitumia kwa mwaka mmoja na sasa nimepata yenye jina langu,
Hivyo nataka niiuze hii ya awali.
Changamoto ni kwamba hii...
Habar! Jamani kwa wakaz wa kanda ya ziwa naomba kuwashilikisha biashara hii ya dagaa kusafilisha kuleta mikoa ya kanda ya kat kama Tabora, singinda, Dodoma na morongoro. Inalipa baraa. Mi npo moro...
kuelekea msimu wa sikukuu tutakuwa na punguzo la bei kuku wa kienyeje watauzwa kwa bei ya Elf 12000 Tu Badala ya Elf 15000 Tunapatikana Morogoro mjini Mtaa wa Masika Wahi sasa Ujipatie kuku aliye...
Gari iko vizuri, haina shida yoyote.
Inauzwa 4,300,000
Ina Cc 997,
Imetembea Km 150,000
Haijapata ajali
Options zote zinafanya kazi
Engine ya VVTi na haijafunguliwa
Gia box iko vizuri,
Body pia...
Kwa wale wanaohitaji mbegu za nyanya ambazo sio hybrid (F1) yaani za kawaida, zinapatikana sasa.
Bei ni tsh.10000 kwa mbegu nzima 1000.
Sehemu ni pugu/kigogo fresh
Kwa wanaohitaji njoo inbox kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.