Salaam,
Nyumba inapatikana Ubungo Riverside.
Ipo karibu kabisa na barabara ya Mandela ( kama meter 150)
Maelezo husika:
Nyumba ina vyumba vitatu (ikiwemo master), sitting room, dinning room...
Mimi fundi umeme wa nyumba mwenye uzoefu mkubwa....hii ni offa kwa kipindi hiki...Nafanya wiringi za nyumba aina zote..sehemu yoyote hapa TANZANIA.kwa bei ya maelewano..nitakusikiliza...
Za mchana wapendwa.
Nilitaka kujua kama kuna anayejua kampuni inayotengeneza beverage plastics za kwa jumla. . Kama inawezekana, wawe wanafanya custom design (tofauti na zile za mtaani za juice...
Kibanda kizuri kwa ajili ya biashara kinauzwa.. Kipo mbezi mwisho! Ni kikubwa na kina nafasi ya kutosha kwa ajili ya biashara yoyote! Anaekihitaji anitext via
Habari za leo wadau. Nauza shamba langu Fukayosi, Bagamoyo. Shamba lina hati na liko umbali wa takribani 2km kutoka barabara ya Lami ielekeayo Msata. Bei maelewano
Kwa wanaohitaji kutengenezewa mchanganuo wa mahesabu (Business plan).
Natengeneza michanganuo ya mahesabu ya uhakika (bankable) kwa bei ya ushindani.
Nina Bcomm (Acctg), CPA na TIOB pamoja na...
Habari wakuu.......
wewe unahitaji kulima na huna shamba ..?
usipate tabu. .. kuna shamba linakodishwa kwa bei y'a tsh.40,000# kwa ekari..
Shamba liko Kabuku... bodaboda toka kabuku mjini mpaka...
Wakuu, kwa wale wenye ufahamu kuhusu ukweli wa bei harisi wa haya magari tunayoona yanatangazwa humu jf. Mfano kuna subaru moja ya mwaka 2004 bei yake imewekwa $160 yaani kama laki tatu na nusu...
Habar wanajf.
Tunawatangazia tuition wazazi na walezi mlete mwanao st peter education centre ambao IPo bunju A usalama barabara ya kuelekea kanisa ya efhata ministry
Masoma yanayofundisha kwenye...
Nyumba ipo Tegeta namanga jirani kabisa na kibo complex, mita 400 kutoka Bagamoyo Road
Vyumba 4 na kati ya hivyo 3 ni self
Ni family house
Size plot 550 sqm
Hati ipo
Bei Tsh 350m
Maongezi yapo...
Greetings 2u my dear Jf members.
Kama kuna mtu anaweza akanisaidia soko la viazi lishe hapa Dar-es-salaam naomba unisaidie plz. Nataka nijue soko lake kabla sijaingia shambani coz kna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.