Habari wapendwa. Nina ulizia wapi inapatika mifuko ya plastiki ya kuhifadhia nafaka (mfano mchele, maharage nk.) kwa ujazo mdogo wa 2kg, 5kg na 10kg. Mfano wa mifuko ninayo ulizia nimeweka picha...
Ninatamani kukodisha gari (coster ) kwenda Rombo mkuu kwa Christmass.
Nahitaji watu wa kuchangiana nao.Tuwe kama familia 4 hivi
Makadirio kila mtu atoe 300,000.
Natarajia kuondoka Ijumaa ijayo...
Nahitaji used Desktop 10-System Unit
+Specification
+Ram at least 3gb
+HDD at least 250gb
+Processor 2.5 GHz or duol or i3
+must be HP or dell
System unit tu weka bei na specification
Za asubuhi wadau. Kama tangazo linavyojitangaza nahitaji feni na budget yangu ni 30,000. Kwa mawasiliano zaidi nicheki kwenye hii number 0712 22 02 07.
Habari ndugu na jamaa,
Naitwa Enock, napatikana Mbezi, Dar es Salaam, Tanzania.
Mimi ni fundi sofa natengeneza kwa oda, naweza kukufuata mahali ulipo au unaweza kufika ofisini kwetu Mbezi mwisho...
Ninauza kuku wa nyama kila mmoja kwa TZS 5500 ikiwa mtu atanunua kuanzia kuku 400. Shamba la kuku lipo Bunju. Na tunakufikishia oda yako popote ulipo ndani ya mikoa ya Pwani na Dar es Salaam...
Hili swala la dactari kutandikwa konde kisha akawekwa kwenye cage kwa muda na mchezaji hakupewa kadi likoje kiutaalamu wa michezo. Maana ajaonekana kuwa damu zimemtoka na alikuwa anatumia tissue...
Satelite finder inatumika katika kufunga madishi au kurekebisha dishi endapo litayumba,
Mafundi wakufunga madishi mnakaribishwa #acha kufanya kazi yako kwa kukariri.
Pia yeyote waweza inunua ili...
INAUZWA
SONY EXPERIA Z
Storage 16 gb | Ram 2
Camera 13mp LED Flash
1.- dust proof and water resistant over 1 meter and 30 minutes
2.-Front/back glass, plastic frame
Condition used like new
No...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.