Habari wadau nyumba inauzwa ipo tangibovu, vyumba vitatu vya kulala viwili ni master, sebule, jiko na dining ipo sehemu nzuri gari inafika maji, umeme vipo mwenyewe anakaa hapo kwenye nyumba haina...
Heshima yenu wadau.
Nina uhitaji wa haraka wa PlayStation 2.
Iwe used au mwenye duka ukinionea imani itapendeza pia.
Iwe fat.
Iwe na pads zaidi ya moja.
Iwe na AV Cable na Power Cable.
Iwe...
Kwema humu ndani.
Jana nimepost thread ya kuuza kiwanja lakini sijapata mrejesho wowote tu sio comments wala nini.Sasa ndio kusema vyuma vimebana sana au watu bado wanausoma mchezo?
Regards.
Wakuu nauza Suzuki escudo ya mwaka 1995, cc 1500. Imetembea km 145000, bei inaanza 7.5 ila maongezi yapo. IPO mbezi mwisho ya kimara anayehitaji anipm.
Tambaza auction Mart and general broker tukiwa Kama mawakala wa ukusanyaji wa madeni sugu ya benki ya posta tunatangaza kuuza nyumba ya mdaiwa iliyopo mbezi beach. Kwa maelezo zaidi kuhusu nyumba...
MEZA ILISHAPATIKANA
MODERATORS: NAOMBA MFUTE UZI HUU
Habari za muda huu wadau wa biashara!
Nahitaji meza ya ofisini (Chinese type) sio mbaya lakini iwe executive.
Ofa:
Tsh 300,000 naweza...
Habari wanajamii forum naitwa Leonard ni Recovery officer wa Tambaza Auction Mart, kutokana na kushindwa kulipa deni la mkopo aliochukua benki ya Tanzania Postal Bank, Kampuni ya Tambaza Auction...
Habari wandugu, nahitaji king'amuzi cha startimes cha dishi dau langu 70,000/=. Pia smartphone aina ya Tecno camon x with dau nililonalo 180,000/=
Kwa Mawasiliano 0676994746.
Nipo Morogoro kwa sasa.
nahitaji hawa dagaa bei ya jumla kwa mwenye nao hawa dagaa au kufahamu wanakopatikana naomba ushirikiano nilikuw nauza wale wakukaanga ila soko limeamia huku tena
Nyumba ipo peke yake kwenye uzio, ina eneo kubwa na bustani!
Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja ni master, nina, sifa zake ni nyumba za kisasa, waweza ona picha! mazingira ni safi na maji ya...
USING'OE JINO TENA ..call/WhatsApp 0758464842..Walioko mikoani tunatuma uwaminifu ni uwauhakika
EBU JIULIZE HAYA MASWALI:
1. Kwa nini meno yanakuuma wakati mwanzo yalikuwa hayakuumi?
2. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.