Habari! Wakuu kama hapo juu panavyojieleza Shida yangu kwa mwenye uzoefu juu ya kutuma mzigo toka Tz kwenda nchini Zimbabwe mfano pair 10 za masai sandals.
Je? Ni njia gani sahihi kwa...
Kuna tangazo jipya la tigo linahamasisha watu kutumia tiGOpesa kuwa kuna shindano unakuwa umejiunga automatic,sasa JOTI kavaa wigi lina mchanganyiko wa rangi zile za Rainbow,anajua kuwa zile ni...
Kama wewe ni mpenzi wa hadithi na simulizi za kusisimua kutoka kwa wa andishi wa ukweli kama Hussein Molito, Hazrat hussein, Yona Fundi, Emmy John Pearson, Richard Mwambe, Hassan Mambosasa, Elias...
Habari, nahitaji mtu wa kunifundisha kusuka, nna salon yangu Lakini sijui kusuka naweza kuset, kutengeneza wigs kushonea style zote,kubond, kupiga pasi nk. Yoyote anaejua kusuka nayupo tayari...
habari wadau....ninauza nazi konki kabisa kutoka lindi kwa bei ya jumla.Nazi kubwa nitakuuzia kwa 750 na za saizi ya kati kwa 600.Nazi ziko nyingi na ziko vizuri vimekomaa na kukauka.Kwa...
Mahali:kiluvya karibu na kwa Sumaye
Bei:Million 7
Size ya kiwanja:mita za mraba(sqm)
600
Kiwanja kinafikika vizuri barabara iko vizuri kimepimwa
Mawasiliano kwa wanaohitaji
Ur welcome
Halo ninashida naomba msaada.
Nahitaji mashine kama hii hapa chini ya kusagia matunda juice.
Niwapi naweza kuipata hapa dar na ni bei gani.
MSAADA WENU TAFADHALI.
Dar es salaam Rental Agency (DRA) tunapangisha vyumba, nyumba na apartments, kwenye maeneo ya fuatayo ya jiji la Dar es salaam.
Mwenge
Mawasiliano
Makumbusho
Survey
Mikocheni
Ubungo
Kijitonyama...
Kwa mahitaji ya Sungura wa kisasa na wa kienyeji wakubwa na wadogo wanapatikana kwa bei nafuu.
Wanapatikana KIVULE Dar es salaam
Mawasiliano: 0756143468/ 0686643616
BEI KUANZIA ELFU 30,000...
Habari zenu wakuu
Nauza mikoba ya wadada na wakina mama jumla na leja leja aina tofauti tofauti
Karibuni
Mawasiliono 0765650028 whatsaap
0716973403 call
Nipo dar es salaam
Nafikiria kumiliki kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya kuishi je upatikanaji wake upoje?
bei zinafikia mpaka sh ngapi hasa maeneo mazuri ya watu wenye kipato cha kati?
kuna mtu alinidokezea...
natafuta eneo la kuweka mgahawa kwa dar
mgahawa huo unasifa zifuatazo
utakua unatoa chakula classic ila bei affordable
sifa za eneo ambalo nalitaka
1.kuwe na parking
2.pawe pa kubwa usawa wa frem...
Nahitaji Crown Athlete namba D ya kuanzia mwaka 2005.
Pesa ya kununua/kulipia ninayo.
Bajeti yangu ni Tzs milioni 7.8.muda wowote wasiliana nami
Whatsap 0738439308...
Au nitumie ujumbe a.k.a niPm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.