ASUS Laptop used inauzwa bei sawa na bure kutokana na shida binafsi za mmiliki
Specification
Ram 4gb
Hard disk 320gb
Inakaaa na chaji masaa 3,
Serious buyer karibu dm tumalize biashara
Karibuni sana kwa wale wote wanaohitaji used computers(ikiwa set nzima au monitor peke yake na cpu peke yake), HDD, Ram,Display,Batteries etc.
Tunapatikana karume machinga complex, Dar es salaam...
Habari Wanajamvi.Naomba kujuzwa Mshahara wa wafanyakazi wa Bandarini katika kada za Bandari yaani TPA na Makontena yaani TICST kwa 'Professional&Non-Professional' natanguliza shukrani wakuu...
Habari, nahitaji battery ya laptop aina ya HP Folio 9470M iliyo pichani. Nimejaribu kuulizia katika baadhi ya maduka kariakoo nimekosa, anayefahamu wapi naweza kuipata; au aliyenayo anaiuza apost...
habari wakuu!
husika na kichwa cha habari hapo juu,tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka,wamiliki wengi wa shule wanaumiza vichwa ni namna gani wanaweza kuongeza idadi ya udahili wa wanafunzi...
Asili yangu products tunakuletea mafuta ya pure black castor oil ambayo ni ya asili kabsa yanatokana na mnyonyo.
Yanapatikana bei ya sh 8000/= tu kwa kila chupa.
Mafuta ya pure black castor...
Kabla hujaamua kuingia katika kilimo ni vizuri ukajifunza au kupata ushauri ili kulima kifaida
watu wengi wanakosea kulima bila taarifa sahihi kwa kukosea msimu wa ulimaji na uwekaji wa mbolea...
Wakuu kama heading inavyojieleza ninakuku wa asili wa kienyeji wanafaa kwa biashara na kula ni wawastani hadi wakubwa kabisa.Wazuri na wenye afya kabisa
bei ya jumla ni maelewano
Rejareja...
Nauza sure apps za kubet zinatoa odds za uhakika.. Play store zinauzwa bei mbaya lakini Mimi nitakuuzia mbili kwa efu tano tu.. Nimefanya hivi kwa kuwa kuna ndugu zangu wanataka hizi apps na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.