Wale ambao mnahamia makao Makuu Dodoma karibuni kwa Viwanja,Nyumba na Mashamba aina zote
-Viwanja na Nyumba za Biashara
-Viwanja na Nyumba za Makazi
-Mashamba ya kununua na Kukodi
Call and...
Boss kashusha anahitaji Million 60 chapu kwa haraka vyumba 3 sebule kubwa store,jiko,parking kubwa fensi,gati,tank la kuhifazia maji liter 500
Location Ipagala Dodoma Mjini
Piga simu...
Habari wakuu, nahitaji nokia obama nne (nokia 1280) zile nokia za button imara toleo la zamani (zisizofutika button haraka kama za kariakoo za sasa hivi). Rangi yoyote iwe nyeusi, blue, nyekundu...
Kiwanja chenye Hati miliki/tittle deed, ukubwa wa ujazo (Square meter) 954 (ujazo wa kati yaani medium density)kipo kwenye mradi wa Madaganya Manispaa ya Morogoro, Barabara ya Morogoro-Iringa...
Habari zenu wanajamvi nina kuku wa nyama wapatao 200 ambao Mungu akipenda kuanzia tarehe 17/12/2018 nitaanza kuwatoa
Hivyo naomba kama mtu ana uitaji na kuku hawa aje ani PM ili aweke oda mapema...
Pamoja na dollar zote wanazokusanya kila siku lakini hata website tu wameshindwa, www.tanzaniaparks.go.tz seemsto be dysfunctional.
Wanatangaza kazi, wanasema uombe online, sasa fungua hiyo...
Habari zenu wapendwa.
Mchele huo super kilo 1600 ukichukua kuanzia kilo 20 tunakufanyia 1500
Delivery utachangia kidogo press order yako karbuni sana.
Kwa mawasiliano tupigie kwa no 0713336158
Habari zenu? Nina mtu namjua alikuwa na kibanda leo kwenye shuguli ya Firsta pale Leaders,kuku (100)bila kusahau nyama fillet ya mishkaki, utumbo supu ndizi mikungu ya kutosha. Kwa anayehitaji kwa...
used samsung galaxy grand prime 1
ram 1gb
internal memory 8gb
colour black
internet 3g
dar es salaam
Bei 140, 000
contact 0712518770
picha tuwasiliane nikutumie watsap mana ku upload imenigomea
Audi A4
Year---2005
Engine---1980cc
Drive---2wd
Other option---AW FOG L-SEAT L-SEAT
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BEI---12.5mil
{unaweza kulipia awamu mbili}
malipo ya kwanza---6.7mil...
1.Chumba Ubungo Maziwa Tsh60,000 miezi sita.
2.Chumba karibu na Mabibo Hostel Tsh50,000 miezi sita.
3.Chumba na sebule Riverside Tsh100,000 miezi sita.
Nyumba na chumba cha kupanga karibu na...
Habari ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mi ni mfanyakazi wa tanga fresh naish tanga,
Ila nina ofisi ya TIGO PESA, M PESA, MAX MALIPO, AIRTEL MONEY NA HALOPESA.
Ofisi ipo...
Habari! Nahitaji laptop Kwa yoyote anaeuza iwe dell, HDD atleast 500gb,ram 4gb iwe na uwezo wa kukaa chaji at least 4hrs.mwenye nayo naomba anicheki tafadhari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.