Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakubwa shikamoni Mi ni kijana umri 20 natafta kazi yeyote mwenye nayo anisaidie mungu awabaliki napatika dar lakini nyumbani tabora
1 Reactions
5 Replies
884 Views
show case hii kwa fundi wanauza 350,000/= mimi nauza 180,000/= ukubwa wake ni futi moja na robo kwa futi sita ina kasoro kama zinavyoonekana lakini ikiwekwa gundi itafanya kazi vizuri kabisa ipo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
SOLD NETWORK: 2G, 3G & 4G DISPLAY: 5.7 Inches RESOLUTION: 1080 x 1820 SIM: Micro Sim/ Single PROTECTION: Corning Gorilla Glass 3 OPERATING SYS: Android 4.3 (Upgradable to Android 5.0)...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Noah inauzwa inapatikana dodoma mjini.inatumika kufanya biashara kubeba abiria ,ipo katika hali nzuri Engine haijafunguliwa ila ni gearbox tu ilibadirishwa Bei ni milion 7 ila maongezi yapo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Anayetaka kuja Dar! weka no zako!! Naenda Mara Serengeti hata bila ya kubadilishana! Ila nimeona niwasaidie wa Mara
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Wakuu naomba msaada wapi nitapata vifungashio ninavoweza kupack dagaa kutoka Tanga dagaa uono, wana dar huita dagaa mchele, watu wa bara dagaa nyama waliochemshwa ndipo wakakaushwa... Wapi hapa...
0 Reactions
0 Replies
36K Views
Jaman wanajamii nina swali kidogo mm nataka fanya biashara ya nondo na cement !!nilikuwa nataka kujua bei ya nondo kiwandan tani moja ni shillingi ngapi kwa size zote na pia bei ya twiga cement...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
KALIKWENDA DESIGNS Tunabuni na kushona Nguo tofauti tofauti, za kike na za watoto, Toa oda tunakushonea kwa bei nafuu kabisa. tunapatikana Dar es salaam- Ubungo. tupigie...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Habari! Wakuu kuna biashara nafanya ya dagaa wa Zanzibar sasa nahitaji ongezea thamani kwa kufanya packaging niwe napeleka supermarkert na hata maduka mbali mbali na lengo Mtanzania mwenye hadhi...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Je unasumbuliwa sana na matatizo ya meno??? Hii ni dawa ya meno inayofanya kazi 10 kwa wakati mmoja (miracle toothpaste) 1)kwa wale wanaovimba fizi au zinatoka damu dawa hii inasaidia sana 2)kwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau tablet tajwa hapo juu iko sokoni. iko vizuri ndani na muonekano wa nje bei 350k karibu ndug mawasiliano 0767101826 soon nakuwekea picha TANGAZO LOLOTE LINALO HUSISHWA KUUZA TABLETI HII...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Pikipiki aina ya boxer kama inavyoonekana katika picha inauzwa kwa kiasi cha shilingi laki tano na nusu tu (550,000/=). Pikipiki ni nzima. Ipo Dar salaam maeneo ya Tabata Magengeni. Kwa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Husika na kichwa hapo juu,ninauza samsung yangu J5 prime mpyaaaa kwa shida za kifedha jaman. Pesa ya filed ishakata na nipo ugenini gem wadau nisaideni kwa hili. Hii simu haina tatizo lolote na...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Mradi ni shughuli (endeavor) yenye malengo maalum inayopaswa kufanyika ndani ya wakati maalumu na kwa kutumia kiasi maalumu cha gharama. Ili mradi uweze kukamilika, rasilimali mbalimbali...
3 Reactions
10 Replies
7K Views
Uchambuzi wa Tatizo (Problem Analysis) ni hatua katika kipengele cha Uchambuzi wa hali halisi (Situational Analysis) wakati wa uibuaji wa mradi. Katika elimu ya miradi, tunaamini kwamba; kadiri...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa na haya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa na haya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Good condition akichezi ata kidogo Ni fully chuma ad chaga chuma Kipo makumbusho Bei 200,000 Unapungufu tunaongea Karbun
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari nimeambiwa mafuta ya vitamin e yanang'arisha ngozi, wapi naweza kupata?bei yake jee? Jee kuna utofauti wake na mtu akitumia vitamin e serum?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Iwe inchi 24 Offer 150. Namba 0715175518 Mahali DSM
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom