karibuni wakuu .uzi huu unajumuisha mkusanyiko wa magari mapya tunayouza. ofisi zetu zipo dar es salaam jengo la quality center barabara ya nyerere road kama unaelekea airport karibuni sana...
Wakuu nahitaji kununua mashine ya kufulia nguo lakini nshindwa kujua brand ipi iliyoimara.nataka nimpumzishe shemeji yenu na vurugu za kufua naomba mnifahamishe aina gani iliyo bora na imara
Habar wana jf,Heri ya Mwaka Mpya!!! Mm n mgen humu!! Natafuta simu kwa yeyote anae uza!! Simu iwe n kampun la Tecno au Samsung!!! Bajet yangu n laki mbili (200,000)!! Alie tayar akuje pm
Msaada tafadhari kwa yeyote mwenye office table au anaejua mahala naweza pata kwa bei isiozidi 80000 anisaidie
Pia kama kuna mtu anauza kitanda anaweza nitext inbox tafadhari
Habari wanajf!
Bila kupoteza muda,naomba kama kuna member anayejua a,b,c...za bei ya mahindi kwa sasa.Mimi nina mahindi nataka kuyauza.Napenda zaidi kama nikipata bei za Dar.
Natanguliza shukrani.
Je Taa za Gari lako zina ukungu, Zimepauka?Kupelekea hupati Mwanga wa Kutosha wakati wa Usiku?Na Ushafikiria Kununua Taa Nyingine? Kama Ni NDIO Basi sasa huna Haja ya Kuwaza Kununua TAA NYINGINE...
Wana JF, tunatafuta mzani (New or second hand) kwa ajili ya kupimia magari ya mizigo kiwandani kwetu.
Au hata mtu anaetengeneza platforms atengeneze then atuuzie.
Mzani uwe na uwezo wa kupimia 10...
Ni muda kidogo nlinunua ili nifunge kwangu....nilinua nje ila sijawahi itumia.
Ina caméra 2, dvr na hardisk ndani, installation câble yenye kurefu zaidi ya mita 100...etc
Yaani Iko complète...
habari wana JF
nina mkaa mbadala kwa ajiri ya matumizi ya viwandani, mashureni, na majumbani,
mkaa huu natengeteza na maranda na mfinyanzi ni mzuri sana unakaa mda mref kuliko huu wa miti na pia...
Niliandaa hii plan kwaajili ya mteja wangu mmoja hapa Tanzania lakini hatimae alikosa kiasi cha pesa cha kuwekeza katika mradi.
Mradi unahusisha kusindika lita elfu kumi (10,000L) za maziwa...
Moja lipo km 78 toka Dsm kwenda Mkuranga,lina mikorosho,linapakana na mto usiokauka,usafiri wa daladala toka mbagala upo. Halifai kwa kilimo cha mazao ya nafaka,linafaa kwa matunda na ufugaji wa...
Nataka mbuzi 100 dume wa kilo 20+ wa miaka 2 na juu.... nipo teyari kuja mkoani... km unayo inbox na picha kwenye what's app tufanye biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.