Habari kwa watu walioko zanzbar
Nahitajio kupata Home theater Used
Bajeti Ni Laki Na Nusu Hadi Laki Mbili Isizidi.
Kwa Ambao wapo huko mnafanya biashara mnaweza kuniagizia na nikapokea huku Dar...
Lipia 50% ya gari unayotaka kisha lipia kiasi kilichobaki ndani ya miezi 24 huku ukiendelea kutumia gari lako.
Below ni check list yetu
Kwa maelezo zaidi Pm
Umetafuta Fundi wa gari yako mwaminifu na mtaram&mzoefu ujampata shoo diesel service ndio jibu lako kwa gari zote za diesel , 1kz, 1hz, 3L, 2L, pajero, dayna, canter pamoja na fusso zote pia kwa...
Ndugu zangu nawasalimu!
Huenda lisiwe jukwaa sahihi lakini naomba msaada; Ni wapi hapa TZ naweza kupata majani ya Mnanaa (Curry Leaves).
Wale wazoefu masoko kama kisutu, Buguruni na sehemu...
Habari wakuu, kwa yeyote anayehitaji dada wa kazi ambae ni mchapakazi na anawajibika katika kazi zake, nipo hapa.
Nina uzoefu wa miaka 3 katika U-house girl.
Endapo utapenda nije kufanya kazi na...
Wewe ni mtendaji wa Taasisi/Kampuni au mtu binafsi (an individual) na una NDOTO ya kujifunza na kutekeleza MRADI kwa manufaa yako binafsi na jamii kwa ujumla?
Timiza NDOTO yako leo kwa...
Habari za jumatatu wakuu wapendwa, Ni matumaini yangu yu wazima wa afya na mungu anasaidia katika pilika pilika za kila siku za utafutaji wa mkate.
Sihitaji kuwapotezea muda maana wazungu...
Hi
Leo tujadili kwa pamoja njia ambazo unaweza ukatumia kupunguza gharama wakati wa ujenzi
1. Kuchagua simple design(avoid complex design) au tuseme chagua ramani nzuri na rahisi haina...
Ndugu zangu nawasalimu, Iweni na heri
Ninahitaji kupata mbegu ya mpunga aina ya SARRO na kama ni vema kunipatia elimu zaidi ya kijiografia unaweza kuniambia maana nipo mkoani Mara na nahitaji...
Je unasumbuliwa na kukosa mafanikio katika maisha?
Je unaandamwa na nuksi na mikosi?
Je unatafuta mafanikio ila huyapati?
Je unasumbuliwa na walozi na wachawi?
Je unasumbuliwa matatizo ya kiafya...
Habari za jumapili wadau,Nauza Shamba lingine ,ekari moja ,Ruvu Kisabi,.liko pembeni ya mto.mazao yanayokubali,Mahindi,mpunga,tikiti maji,bamia ,n.k.pia zuri kwa ufugaji wa Samaki,hakuna haja ya...
hii ni kwa ajili yako
uliye ajiriwa
ambaye huja ajiriwa
unaye taka kuongeza kipato chako
semina hii ni bure
njoo unufaike kiuchumi
Kwa maelezo zaidi kuhusu namna ya kufika eneo la tukio piga...
*USIULIZE MAJANI YA CHAI ULIZIA BARAKA CHAI*
Baraka Chai(Chai uipendayo)
Ikiwa katika radha tatu tofauti ,baraka tangawizi,baraka masala na baraka black
Inasambazwa na Bahari Cosmetics Ltd,Nyerere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.