Kama kichwa kinavyojieleza ndugu wana JF, kwa mwenye taarifa zozote, mmiliki au dalali wa nyumba maeneo ya upanga hapa dar es salaam natafuta nyumba ya kupanga maeneo tajwa. Naomba anicheki PM ili...
Habari wana Jamii. Kama tangazo linavyosema nauza IPad yangu aina ya Apple Ipad Air 1, ni
16 GB na
inaruhusu line yoyote na ni
4G na Camera iko vizuri sana. Aliekuwa interested tuwasiliane...
Bado hujachelewa! Jipatie Kinanda (Pedal) vya uhakika na bei nzuri guarantee yetu ni ya muda mrefu.
Piga 0755549602: "qui bene cantat bis orati"
St. Augustine.
Jarida mahususi lililosheheni masuala mbalimbali ya afya, lishe mazoezi na mengineyo mengi limeandaliwa na wabobezi mbalimbali kutoka sekta ya afya.
Karibu ujipatie nakala yako sasa kwa gharama ya...
Habari wakuu?
Safirisha mzigo wako nasi kwa usalama na bei nafuu kabisa. Iwe unahama au kuna mizigo unaamisha sisi ndio chaguo sahihi. Gari zetu zote nyuma zimefunikwa ambapo inasaidia mzigo wa...
Mimi ni mwalimu wa ICT nina uwezo wa kufundisha maeneo yafuatayo;
Basic Introduction to Computers
Internet and Email
Graphic Design
Web design and development
Social Media Management
Pia...
Line ya uwakala Mpesa 135000
Sabufa spika tatu 140000
Sabufa nyingine 110000 tu
Mazungumzo yote piga 0716358293
Wale wazee Wa nipunguzie karibuni pia bei za Jpm desktop Cpu zipo 3
CPU ram 2gb na...
Habari ya majukumu wakuu? Bila kupoteza muda niende kwenye mada, Mimi ni mfanyabiashara wa biashara mbalimbali ikiwemo mafuta, gesi n.k. Lakini pia mbali na hayo mimi nina kampuni ya ukandarasi wa...
-Kipo Mvuti-Dar
-Nauza kiwanja Mita 20×20
-maji yapo mita 20 kutoka kwenye kiwanja
-Umeme upo mita 20 pia
-upimaji shirikishi tayari
Bei mil 5. maelewano yapo
Nitafte kwa 0769353653
Shamba lipo njia ya mlandizi kutokea bagamoyo sehemu inaitwa miswe..
Eneo lipo katibuni na barabara .
Zipo ekari tano kila ekari moja bei ni mil6 tu..
Uwezekano wa kupata zaidi upo pia..
Karibuni
*MRC Tanzania*
Je! Una tatizo la utumiaji wa pombe au mihadarati
Je! mtoto au mwenza wako ana tatizo la ulevi na utumiaji wa mihadarati
Kwa huduma ya usaidizi wa kuachana na utumiaji wa pombe...
Section 20 inawakaribisha watu wote wenye biashara zao binafsi au kampuni ambao hawana TIN au leseni ya biashara kuweza kufanyiwa mchakato wa kuzipata.
Na pia kwa wale wote wenye biashara za...
VITANDA KWA BEI SIMPLE
Kwa mtu yeyote ulieko arusha nakuletea kitanda kama hiko mpka chumbani kwako kama utahitaji na kukufungia nakufungia mwenyewe kwa Tsh330000 tu hakuna maelewano tena kwa...
nauza kiwanja kipo Moshi Kilimanjaro kata ya kirua vunjo kusini kijiji cha Uparo kina ukubwa was Metre 45 kwa 25 kina hati ya mauziano ya kijiji na kipobkaribu na lami kina nguzo ya umeme au kuna...
Be it any time of the year, Switzerland always stands photogenic. Here are the top ten attractions is Switzerland which you absolutely cannot miss when you visit the country.
-------------...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.