Kama kichwa kinavojieleza
External Hard Disk 1TB aina ya TOSHIBA inauzwa
Bei ya kitonga 120k
Used
Mahali Dar es salaam kokote unafikiwa.
Kwa mawasiliano PM.
Msaada nahitaji kufungua duka la viatu vya plastic maarufu kama yeboyebo kijijini, naomba mnielekeze wap naweza kupata viatu vya aina hiyo kwa bei nafuu kwa dar, pia naomba kujua kama kufungua...
Fanya printouts chini ya dakika 3 tu,ukiwa na Portable Min Printer aina ya canon selphy cp900.
Specifications;-
a.ina print postcard size 4X6.
b.ink cassette yake moja inafanya printouts 36...
Gari Aina ya BMW X5 inauzwa a gari ipo kwenye Hali nzuri ,inatumiwa na Mwanamke ,inauzwa kwa kuwa haitumiki Sana hivyo kukaa bila kutumika inaweza ikasababisha matatizo madogodogo .Bei ni milioni...
Wakuu heshima iwe kwenu natafuta kagari hako tajwa hapo juu huenda kakawa kametelekezwa kutokana na model yake kenye bei rafiki kabisa kama kanavyoonekana hapo pichani
Nyumba zote hizi zipo umbali wa mita100 kutoka barabara ya Mandera(Mandera road).
Huduma mhimu zote zipo.
1.Chumba Master na sebule Tsh120,000.
2.Chumba single na sebule Tsh80,000 (choo na sebule...
Habari wana JF biashara, naomba mwenye uelewa anisaidie nitawezaje kupata general supplier wa ream papers (karatasi za kuprintia A4) mondi (mfano tu) na nyingine yeyote, ili niweze kununua na...
Nasafisha na Kurestore taa za magari na kuzirudisha katika Upya wake Kwa kutumia Kifaa cha Kisasa na Teknolojia Ya Kisasa Kabisa Kwa Gharama Nafuu kabisa ya SH Elfu 35 na kuzifanya taa zako...
Ziko TABLET 2 KWA SASA
SAMSUNG GALAXY 10.1
BEI 300K
APPLE TAB2
BEI 200k
SAMSUNG INATUMIA LAINI/wifi
APPLE iinatumia WIFI
Zote ni 10inch kwa 7.5inch.
KARIBUNI SANA
TUPO DAR
Cont
0787101726
Tunauza viatu vya ngozi almaarufu kama viatu vya kimasai. Kwa jumla na rejareja vya shanga bei ya jumla 8500 na vya ngozi jumla ni 8000/= tupo dodoma. Oda kuanzia pea 10 kwa mawasiliano piga...
c.c 1980
mileage 100334km
Bei 5.5M
ni gari ya mwaka 2001.
Haina shida yoyote.
Engine haijaguswa
Location Kigamboni
Hamna dalali ni mimi mwenyewe muhusika unakaribishwa kuiona.
Ilikuwa inatumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.