Nauza na pia Natafuta tenda ya ku supply unga wa sembe ku mashule au hata watu binafsi kwa jumla na rejareja coz nina maroba ya kutosha.kwa jumla kilo 700 tu,,na unga ni mzuri sana.npo karibu na...
NATAFUTA MTU ANAYEPATIKANA MAENEO HAYO
KWA AJILI YA KUFANYA NAE BIASHARA FULANI.
MIMI KWA SASA NIKO DAR LAKINI NAPAFAHAM VIZURI
KWANI NDIO TULIOJENGA BARABARA YA LAMI MAENEO HAYO
KUNA FURSA...
shamba lipo kijiji cha mgala kabla hujafika kifanya,na lipo umbali wa km 40 toka songea road.linafaa kwa kupanda miti,bei ni tshs. laki 1 kwa kila ekari 1. 0718317773
Shamba lenye ukubwa wa ekari elfu mbili linauzwa. Lipo Nambendo Songea.
Eneo lililong'olewa visiki ni Kama ekari Mia mbili. Eneo lililobaki Lina Miti mikubwa inayofaa kwa mbao za asili.
Kuna...
Kwa wafanyabiashara mahindi yanapatikana songea yamekusanywa pamoja tayari kwa kuuza yapo zaidi ya gunia 1000 kwa mteja ambaye yupo tayari ajitokeze tuweze kupanga biashara ukusanyaji utakapo...
Tunapulizia dawa za kuuwa wadudu majumbani, kwenye ofisi na mazingira mbalimbli.kama vile mbu ,viroboto, mende,kunguni,na wadudu wengine, tunatoa huduma bora hutojutia daima.
Call: 0655 166597...
Habari wajameni kutokana na hali ya mazingira ninahama kutoka kimara kibo kwenda kiluvya ..
Sasa nyumba ninayoihama ni nzuri kukaliwa na mpangaji yeyote kutokana na kuwa karibu na miundombinu...
Wakuu, mwenye uhitaji ani PM, gari nzuri hainajapata kuwa na tatizo na imeingia Bongo May 2018.
Car Basic Info
Maker TOYOTA
Name RAUM
NEO-ED 2WD
CC 1490
Color L GREEN
RYear 2005...
Aina: hp
Processor: core i7, 2.5Ghz (screen picha ina details)
HDD: 500gb
Ram:8Gb
Ni nyembamba sana
Betri: inakaa na chaji zaidi ya masaa 5
Imetumika miezi 3 ilinunuliwa brand new
Inapatikana...
Nina HP Pavillion Note Book Laptop.
RAM 12 GB.
HDD 1T.
Webcam
Wi-fi.
Touch Screen.
i7.
15.7"
Windo 10.
Iko na hali yake ile ile. Sababu ya kuiuza sina kazi nayo. Nilinunulia kidosho ameleta...
SHAMBA linauzwa Kibaha Misugusugu 3 Kms kutokea Morogoro Road, Hekari 4.6
Lina michungwa lipo Karibu na viwanda vya wachina Karibu na Miyomboni, umeme na maji karibu, no dalalali 8M kwa Hekari...
Kampuni ya Backyard ni wazalishaji bora wa kuku wa kienyeji na chotara hapa nchini. tunao kuku wazuri wenye record nzuri ya utagaji pia na uzito wa juu ndani ya muda mfupi.
kuku wetu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.