habari wana ndugu,
kiwanja kinauzwa kipo tegeta wazo (mji mpya).
N. B mji mpya ni mji wa kisasa kabisa unaojengeka kwa kasi na wenye mpangilio wa makazi ya kisasa kwa asilimia kubwa.
Distance...
Wadau wa jf habari za leo, wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Nahitaji baiskeli hiyo kwa ajili ya ka mradi ambako nimekabuni , tatizo sijajua kwa hapa dar zinapatikana wapi?, baiskeli...
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Dege Kigamboni, eneo lipo jirani na mradi mkubwa wa ujenzi wa Dege Eco Village. Kiwanja kipo eneo zuri na kimezungukwa na miundombinu muhimu yote ikiwemo umeme...
Habari wana Jf, nauza kitanda 5*6 na godoro lake nchi 8 vyote tsh. 280,000/=
Nipo temeke Dar.
Namba ya simu. 0715253904 au 0744774462
Ahsanteni na karibuni sana!.
Post sent using...
Mambo vp wadau,
Nauza gari yangu picha na details zingine ni kama ifuatavyo
make: toyota
model: landcruiser
mwaka: 1991
fuel: diesel
transmission: manual
njoo ukague gari tufanye biashara...
Maboss, nawasalimu. Nahitaji Photocopier kwa ajili ya Stationary yangu, Mpya au Used but iwe katika hali nzuri.
Popote ulipo Tanzania nitaifuata. Bei iweke hapa.
KARIBUNI.
Biashara ya mgahawa, beer na vinywaji baridi Eneo la Sinza A, off sheikhlango road, DSM, njiapanda kwenda Mlimani City.
Kuna SOKO zuri pamezungukwa na kumbi za harusi, garage ya magari, stand ya...
KIWANJA KINAUZWA KINA UKUBWA WA SQM 699 MAKAZI , UMEME NA MAJI YAPO, KINA HATI NA KIMEPIMWA KIPO KARIBU NA KIWANDA CHA KILUWA STEEL INDUSTRY MAMLAKA YA MJI MDOGO MLANDIZI KIBAHA DISTRICT KWA...
kwa yeyote ajuaye tafadhali, wenye uzoefu wa kuchapisha vitabu china wakatumiwa hapa tz tushee uzoefu. rafiki yangu amenishauri nitumie makampuni ya China kuchapisha vitabu. ni kampuni gani nzuri...
Nauza simu ya Tecno phantom 8, mwenye kuhitaji anicheki bado mpya, nakupa mpaka box lake na lisiti ,simu bado ipo kwenye warranty, Nimepata shida tu, nataka 650k
Ewe mkazi wa Tabora, Je unahitaji samaki wabichi kwa ajili ya chakula nyumbani..
Tupigie tukuletee mpaka mlangoni kwako.
Je una restaurant hapa Tabora mjini...
Tunapokea order ya samaki wabichi...
Nina washing machine ( mashine ya kufulia) ambayo tatizo lake ni kuwa haiingizi umeme kabisa. Nimecheki fuse ya plug na ya washing machine, zote ni nzima. Fundi anayeweza kunitengenezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.