Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
salaam, wana jukwaa! viwanja vilivyopimwa na serikali vinapatikana ndani ya mwanagati, kitunda (wilaya ya ilala). viwanja vipo viwili na vyote vina hati miliki (title deed) ya eneo husika...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Natafuta samaki wabichi (ambao watakuwa wamegandishwa kwa export) wa aina zote, lakini hasa tilapia, kutoka Tanzania. Kiasi kikubwa cha samaki kinahitajika kwa muda mrefu na wa kudumu. Wale ambao...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Tecno S1 yenye specs zifuatazo inauzwa Screen Size : 4.0 Inches Screen Resolution: 800 x 480 pixels (186 PPI) Processor Type: 1.3 GHz Quad-core CPU and MediaTek Chipset RAM: 512MB...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Natafuta speaker kubwa used mid ninayoweza kitumia kwenye shereke au baa
0 Reactions
4 Replies
842 Views
BNY SERVICES. Wanatoa huduma ya private tuition kwa wanafunzi na wasiokuwa wanafunzi katika mambo muhimu yafuatayo: 1)Wanafundisha wanafunzi wa O-level kwa masomo ya mathematics,physics,chemistry...
0 Reactions
2 Replies
720 Views
Habari wadau Mwenye kufahamu mashamba ya kukodi yaliyopo pembezoni na mto ruvu naomba Masada. Hata kma unanamba ya dalali maeneo hayo itakuwa umenisaidia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sory kwa kuchanganya mada wadau kuna mtu yyt humu ndani na anaepatikana jijini dar es salaam anaejua wapi naweza kupata nyumba ya kupanga Vigezo Vyumba 2+ Viwe na tiles Sebule kubwa Mwenye...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
nzuri kwa ajili ya kijana anaeza elimu yake ya juu,pia kwa matumizi binafsi bei poa sana specs. hdd 250gb ram 2gb processor 1.7ghz kwa picha na maelezo zaidi 0765158387 dar es salaam-temeke...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nauza photocopy machines mpya. Zinatoa copy na kuprint. Zipo zinazotoa karatasi 16 . 22 . 28 . 30 kwa dakika 1. Bei ni 1.5million . Nipo kariakoo. Mtaa wa agrey .nichek whats app kwa 0689800817...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamii forum? Kwa wale wenye ndoto za kuchapa vitabu vyao, sasa wakati umefika. Jipatie huduma ya kuchapiwa vitabu vyako kuanzia 50 na kuendelea kwa bei ya nzuri. Kitabu chenye kurasa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nauza health fitness tracker kwaajili ya afya, mazoezi na notifications. Kazi zake: -Inapima mapigo ya Moyo. -Inapima pressure ya damu. -Inapima kiwango cha Oxygen katika damu. -Inahesabu hatua...
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Naomba msaada, Natafuta soko la vitunguu saumu, naomba ushauli wakuu, ntashukuru sana.
0 Reactions
2 Replies
909 Views
Jamani naomba mniekekeze printer itakayonifaa kwa shughuli za stationery pamoja na bei zake Asanteni sana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina mshikaji wangu kaniulizia atapata wapi maduka hapa Dar wanauza viatu classic vya mtumba. Nimeona niulizie humu kwa wenyeji mnaweza kunisaidia nikamuelekeza mshikaji. Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wekeza pesa kidogo kuzailiza mtaji mkubwa wa mamilioni ya pesa haiitaji kushilikisha mtu unaandaa mtaji wako mdogo ambapo baada ya miezi minne pesa yako ya mtaji inaludi na unabaki kula faida...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Nina mshikaji wangu kaniulizia atapata wapi maduka hapa Dar wanauza viatu classic vya mtumba. Nimeona niulizie humu kwa wenyeji mnaweza kunisaidia nikamuelekeza mshikaji. Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
772 Views
Alaska Beverages & Company (T) Ltd (0672 071 666/ 0686 355 655) Tunatoa huduma nzuri za vinywaji kwenye sherehe kama vile Maharusi, Kitchen Parties, Send Offs, Birth Days, Mikutano n.k katika...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu,tunauza maziwa fresh kabisa,bei Tsh 1800 kwa lita moja.nipo maeneo ya Dar es salaam-Changanyikeni near ubungo.karibuni sana
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Habarini wana JF naombeni msaada kwa mtu yoyote anaejua kampuni au taasisi ya mikopo yenye riba nzuri anisadie... Au makampuni ya kuingia nao mkataba wakanirejebishia nyumba za kupangisha Ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom