Habari zenu wapendwa kama kichwa cha habari kisemvyo nilikua naomba kusaidiwa bei za mabalo ya nguo nzuri za wadada,sidiria au viatu vya watoto.Kutokana na hii changamoto ya ajira nimeona nifanye...
Habari wanajamvi,
Nauza subwoofer ya gari (deochestra). Ina mziki mkubwa sana.
Ipo tayari kuunganishwa na radio yeyote ya gari na kuanza kutumika.
Bei: 100,000
Location: Dar (Posta)
Contact: PM
Kama title ilivo apo juu.
Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.
Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji...
Nmepata uhitaji wa haraka wa cash, nimelazimika kuuza hivi vitu ambavyo ni sehemu ya maisha yangu kwa kiasi kikubwa.
39 inch TV hii ni mpya ina just one month since nimeinunua Risiti ya kununulia...
Kwanza Kabisa Unatakiwa Kujua Kama Usajili huu hufanywa kwa njia ya Mtandao Pekee.
Fungua tovuti (website) ya TCRA (www.tcra.go.tz), upande wako wa kulia juu kuna maandishi yanasomeka...
Napenda kuuliza wadau kuwa hivi ni kweli siku hizi serikali imefunga usajili kwa taasisi za kidini? Naomba ufafanuzi tafadhali. Na kama kuna mtu anayejua taratibu zote au anayeweza kufanya kazi ya...
Naomba mtu mwenye ufahamu kuhusu mbegu ndefu za mpunga tuwasiliane. Zinahitajika data kamili(wapi inapofaa)kwa kivupi ni kwa ajili ya kulima nchi nyingine. Hivyo ili iweze kusafilishwa kwa ajili...
Je wewe ni mkazi wa Dar es Salaam, Morogoro au Dodoma, na unamiliki "Day Care Centre" au "Pre-/Primary School' na ungependa kuiendesha kisasa ili kuendana na ushindani katika soko la elimu? na je...
Habari wakuu nahitaji box ya kuflashia simu iwe miracle box au Volcano, pia kama ikipatikana nyingine inayoweza kusupport simu zenye chipset ya mtk, spd, etc.
Box iwe mpya au used, location...
Habari za mchana wana JF, hasa wa jukwaa hili la biashara na ujasiriamali.
Tuna kampuni ya inayotoa huduma za professional cleaning (USAFI ) maofisini na sehemu zingine mbalimbali.
Huduma zetu...
Habari za leo wanajukwaa, nauza bajaj yangu aina ya TVS King ikiwa kwenye ubora wa hali ya juu. nimemnyang'anya dereva jumapili iliyopita maana sound zimekuwa nyingi na haleti hela. nimeipaki tu...
Kwa mwenye simu husika hapo juu nahitaji ikibidi muda huu huu tusipoteze time.
Bajeti 130k
Ukiwa upo soko kuu , lango , buzuruga , national au buswelu itakuwa mpango sana.
Ciao.
Location: Pongwe, Tanga.
Umbali kuelekea main road: 1 km
Maji yanapatikana 24 hrs, 7 days.
Umeme upo karibu, hakuna haja ya nguzo.
Vyumba vitatu, kimoja master
Kuna Public Toilet
Kuna Jiko na...
Wandugu Mtu yeyote anaefahamu au kuhusika na Upatikanaji wa hii bidhaa Kwa jumla NaMuomba Tuzungumze, Ni mashine ya kunyolea inayotumia betry pia inachajiwa katika Umeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.