ANAHITAJIKA MTU MWENYE DEGREE YA BUSINESS ADMINISTRATION KWA AJILI YA KUFUNDISHA CERTIFICATE NA BAADAYE DIPLOMA HUKO NYANGUGE WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA. CHUO KINATARAJIA KUANZA JANUARY 2019...
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru uongozi wa jamii forum.
KB logistics company ltd tumewaletea huduma kwa karibu na haraka zaidi hasa wale wanaomiliki petrol station na wale wenye...
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko, ni nzuri na ya kisasa, ni mpya haijawahi ishi mtu, ipo kimara mwisho umbali wa 1.8 km kutoka morogoro road, nyumba zipo tatu...
Habari zenu wakuu nauliza hivi ni generator gani na yenye uwezo gani kwa matumizi ya barbershop na tafadhali ningependa kujua bei zake.
Iweze kusukuma vitu kama ac, water heater and mengineyo.
Tunapenda kutoa shukurani kwa Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuhakikisha inasimamia haki sawa kwa wote
Kuna Kontena letu lilikwama bandarini Dar kwa miezi mitano kwa makosa ambayo yalifanywa na na...
Salamu Kiwanja ukubwa 20x20 maeneo ya king'azi Kinyerezi dar es salaam kinauzwa bei yake milioni 6.
Vingine vya kukata kata 15x15 au 10x20 bei maelewano njoo uvitazame vipo njia ya kuunganisha...
Handbags for classic lady's zinapatikana kwa bei nafuu sawa na bure.
[emoji162]New modern
[emoji162]High quality
[emoji162] rangi zote zinapatikana.
< Nafanya deliver kwa mwanza.
< Bei Tsh...
Vifaa vya muziki wa either ukumbini au kanisani au sehemu yeyote ya wanakopigisha muziki, vinauzwa kwa bei nzuri ya maelewano. Vinapatikana maeneo ya kigogo mburahati
Spika nne kubwa za base...
Guys! Ningependa kufahamu ni wapi naweza kupata Overalls; yale mavazi yanayotumika na mafundi, hususani Mafundi Mechanics.
Kama unafanya hiyo biashara, hususani Dar es salaam au Arusha...
Tunahitaji maeneo muhimu kwa ajii ya kuuza mafuta, ikiwa eneo liko katikati ya mji litapewa kipaumbele, lakini pia maeneo ya nje ya mji kama yako vizuri nayo yataangaliwa. pia ikiwa unakituo cha...
Solar (Umeme jua) teknolojia mpya ya umeme nafuu
Tafiti zinaonesha kuwa asilimia 36 tu ya Watanzania ndiyo wanaopata umeme huku wale waishio maeneo ya vijijini wakiwa nyuma zaidi. Kuna...
Habari wanajamvi,
Kwa mvuvi au mfanyabiashara wa dagaa hasa dagaa aina ya furu nawahitaji kwa wingi sana kwa ajili ya chakula cha mifugo.
Mimi niko Kampala, Uganda.
Contact:- WhatsApp +256772328439
Wachache wameshaiskia na wachache wameshahudhuria semina za Biashara Ya Kampuni ya AIM GLOBAL/ ALLIANCE IN MOTION GLOBAL.
Kama una swali,dukuduku au mashaka yoyote au hujaelewa jinsi gani Kampuni...
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu naomba kujua soko la matunda aina ya machungwa kuhusu soko lenyewe mahali lilipo na bei zake kwa mfuko au jumla ni bei gani na rejareja au mojamoja ni bei gani...
Kiti cha ofisini kinauzwa (official chair) bei 45,000 tu, kinazunguka na kupanda juu chini. Njoo ukione MSASANI, MAYFAIR PLAZA au SHPOPPERZ PLAZA.
Simu 0759380898 au 0683380898
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.