Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari, nauza mali zangu kama ionekanavyo kwenye picha kwa gharama ya milioni 1.5 vyote kwa pamoja kwa aliye serious ani PM namba yake nimpigie.
1 Reactions
29 Replies
3K Views
4 pieces. -Released in july 2018 -brand new,boxed -Fingerprint -Face unlock (inafungua simu via sura yako) - Display: 5.99 inches Flash nyuma na mbele Camera:back 13MP + 2MP back Front 5mp...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta charger (kifaa cha kuchajisha) used au mpya, Mwenywe nayo comment au PM tufanye business. Km mtu unajua sehemu znapopatikana also comment. . Thank you in advance. Mfano wa kifaa...
0 Reactions
10 Replies
854 Views
Hp Pavillion Dv6 Intel core i7-2670@2.6ghz 4gb ram, 500gb hdd 15.6 LED screen size 2Gb radeon graphic card DvD rw Webcam,wi-fi,Bluetooth Backlight keyboard Windows 10 pro 64bit 4hrs battery...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja budget yangu 5 mil ndani ya dar-es-salaam 0623 857 816
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Naamin kuna watu mashujaa wakujua simu hasa samsung ata kwa kuziangalia kwa picha. Ivi hi simu ni og au vip wakuu mana nataka kuinunua but nko mbali nimetumiwa pic .tafadhali msaada wenu wataalam
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari zenu WAKUU? Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika. Shukrani sana
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Wakuu, natumaini mnajiandaa vyema na weekend. Mwisho wa mwezi 10 nahitaji kupata Hiace dungu, manual, diesel, ikiwezekana 4wd na pia walau iwe na max 100,000km na cc isiyopungua 2500. Pia isiwe...
0 Reactions
4 Replies
718 Views
Habari wadau! kwa mahitaji ya ubuyu wa Zanzibar,mwekundu na mweupe tunapokea oda na hivo kujipatia ubuyu fresh direct kutoka jikoni, Zanzibar . Mzigo huingia Dar kutoka Zanzibar kila ijumaa na...
0 Reactions
3 Replies
922 Views
Wapi ntapata Vifaa vya maabara kwa bei nafuu kwa Dar? Wakuu ni wapi naweza kupata chemicals za maabara ya Secondary physics na Chemistry kwa bei nzuri hasa maduka ya wahindi hapa Dar? Shule ipo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa huduma za printing, designing, company profiles, memorandum, wedding n invitation cards, flyers, banners, stickers n.k Unaletewa order yako mahali ulipo ndani ya Dar; Wasiliana nasi, 0654 796047
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina vifaa vifuatavyo kwa ajili ya Biashara ya Chips. i) Kabati yenye sq m 1 ngazi 3 ii) Meza mbili, moja yenye 1.5m na nyingine yenye 2m. iii) Jiko la gas la karai moja iv) Mtungi wa gas kg 15...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitaj used pooltable nipo shinyanga kwa yeyote anaye uza plz fanya tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Karibu kwa mtu anae hitaji microphone Bei sawa na bure 90000tsh Nipo mwanza
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa nauza Samsung Galaxy Note 5 nilinunua kama miezi minne iliyopita. Kwa anaehitaji anijulishe kwa sasa nipo Arusha.Bei Tshs 380,000/= top. 0687702626
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau , Naomba kujuzwa kwa wale wenye uzoefu na vitu hivi niko katika kufanya utafiti kujua kama kuleta vitenge kama woodin na Kente kutoka Ghana kuja Dar inaweza kulipa. Maswali ya Msingi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeuziwa na kufungiwa king'amuzi cha Canal + hivi karibuni na nimeunganishwa mwezi mmoja bure. Swali langu ni je baada ya kipindi hicho kumalizika wapi naweza Kwenda lipia mkoani Dar es Salaam...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari zenu ndugu zangu.. ninaombeni msaada wa kufahamishwa wapi naweza kupata chemical zifuatazo? xylene na 2k- thinner Ninahitaji kwa matumizi binafsi ya ujasiriamali.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini waungwana Kwa huitaji wa nyumba ya kununua kupanga,shamba la kununua kukodisha,chumba au vyumba vya kupanga..dalali nipo hapa seriously
2 Reactions
41 Replies
8K Views
Back
Top Bottom