4 pieces.
-Released in july 2018
-brand new,boxed
-Fingerprint
-Face unlock (inafungua simu via sura yako)
-
Display: 5.99 inches
Flash nyuma na mbele
Camera:back 13MP + 2MP back
Front 5mp...
Natafuta charger (kifaa cha kuchajisha) used au mpya,
Mwenywe nayo comment au PM tufanye business.
Km mtu unajua sehemu znapopatikana also comment.
.
Thank you in advance.
Mfano wa kifaa...
Naamin kuna watu mashujaa wakujua simu hasa samsung ata kwa kuziangalia kwa picha. Ivi hi simu ni og au vip wakuu mana nataka kuinunua but nko mbali nimetumiwa pic .tafadhali msaada wenu wataalam
Habari zenu WAKUU?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.
Shukrani sana
Wakuu, natumaini mnajiandaa vyema na weekend.
Mwisho wa mwezi 10 nahitaji kupata Hiace dungu, manual, diesel, ikiwezekana 4wd na pia walau iwe na max 100,000km na cc isiyopungua 2500.
Pia isiwe...
Habari wadau!
kwa mahitaji ya ubuyu wa Zanzibar,mwekundu na mweupe tunapokea oda na hivo kujipatia ubuyu fresh direct kutoka jikoni, Zanzibar .
Mzigo huingia Dar kutoka Zanzibar kila ijumaa na...
Wapi ntapata Vifaa vya maabara kwa bei nafuu kwa Dar?
Wakuu ni wapi naweza kupata chemicals za maabara ya Secondary physics na Chemistry kwa bei nzuri hasa maduka ya wahindi hapa Dar?
Shule ipo...
Kwa huduma za printing, designing, company profiles, memorandum, wedding n invitation cards, flyers, banners, stickers n.k
Unaletewa order yako mahali ulipo ndani ya Dar; Wasiliana nasi,
0654 796047
Nina vifaa vifuatavyo kwa ajili ya Biashara ya Chips.
i) Kabati yenye sq m 1 ngazi 3
ii) Meza mbili, moja yenye 1.5m na nyingine yenye 2m.
iii) Jiko la gas la karai moja
iv) Mtungi wa gas kg 15...
Wadau ,
Naomba kujuzwa kwa wale wenye uzoefu na vitu hivi niko katika kufanya utafiti kujua kama kuleta vitenge kama woodin na Kente kutoka Ghana kuja Dar inaweza kulipa.
Maswali ya Msingi...
Nimeuziwa na kufungiwa king'amuzi cha Canal + hivi karibuni na nimeunganishwa mwezi mmoja bure.
Swali langu ni je baada ya kipindi hicho kumalizika wapi naweza Kwenda lipia mkoani Dar es Salaam...
Habari zenu ndugu zangu..
ninaombeni msaada wa kufahamishwa wapi naweza kupata chemical zifuatazo?
xylene na 2k- thinner
Ninahitaji kwa matumizi binafsi ya ujasiriamali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.