1. Kiwe Dodoma mjini
2. Kiwe kimepimwa
3. Kiwe na hati
4. Bei isizidi 4 millions
5. Sihitaji dalali, ingawa atakae wezesha nitamlipa 5% ya bei nitakayo nunulia.
Kwa mawasiliano zaidi, PM...
Dealer wa electronics mbali mbali kama TV, hometheatre, n.k bidhaa ni mpya zinakua na warranty ya mwaka mmoja
Kwa maelezo zaidi piga namba 0754891344/0713086602
NB: Tunafanya delivery mpaka...
Habari wana jf
Nauza glass protector kwa bei ya jumla..
Elfu moja moja kuanzia kumi .
Protector zilizopo ni za iPhone, Samsung, LG, huawei na techno
Kama unahitaji nitext pm au njoo directly...
Jipatie hivi vitu Kwa bei zetu za Jpm Dsm mbezi beach
Friji 390000 subwoofer 85000 flat tv nchi 32 na Dstv 420000 tu ukinunua ni kujiunganishia tu DSTV OFA
Sofa 300000 weka nyumba yako vizuri...
Habari,
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji Tub yenye uwezo wa kufit katika hizo dimension na nitashukuru ukiniwekea na bei.
Napatikana Tegeta.
Thanks
Nauza notebook asus ya mtumba ni android ram 1GB storage ni 54GB kwa shs.60,000....touch haifanyi kazi sababu ili anguka touch ika crack unatumia keyboard tuu kama upo serious nichek 0716385824...
Wadau
Nimerudi tena jamvini, kama mnavyojua haya ni mambo ya msimu , hivyo sasa nina mahitaji ya mabao za mitiki kwa wingi , kwa ambaye ana mzigo naomba tuwasiliane haraka iwezekanavyo .Najua...
Habari wadau,
1. Je wapi naweza pata machine ya kusagia viungo vya chakula? Specification zake na bei yake, nahitaji isiyozidi laki3.
2. Kiwanda chenye kutoa vifungashio vya viungo na pilipili...
Tunauza nguo za kiume Mashati, Suruali na Kaptura za kadeti bei kwanzia 25,000/= hadi 40,000/=
Dar unaletewa hadi ulipo utachangia gharama ya usafiri kuringana na mahali ulipo.
Mikoani unatumiwa...
Nauza vitu vifuatavyo;
1.Desktop na CPU (RAM 2, HDD 220) yake + printer sh.200,000/-
2. Office table (hardwood) made in brazil, Sh.600,000/-
Ukichukua vyote bei napungua mpaka sh.650,000/-...
Pump hii nimeinunua dukani nimeitumia kidogo kwa sasa nataka niiuze.bei ni sh 300,000/ maongezi yapo kidogo.Inarusha maji kwenye bomba la inch 3.
Mashine iko Dar,maeneo ya Sinza.
Karibu
Maafisa wa Zantel Rehema Tarimu (kushoto) na Hussein Ahmed Abdallah (kulia) wakimsajili mteja mpya mara baada ya kampuni hiyo kuwatembelea wakazi wa Kongowe jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma...
Awe na uzoefu wa kutengeneza ice cream au lamba lamba za vijiti na juice za matunda.
Awe yupo Dar es Salaam.
Malipo tutazungumza.
Kama unamtu pia unamjua mpe huu mchongo.
Nipigie tuongee
0769630209
Habari zenu Wakuu?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.
Shukrani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.