Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za kazi wana JF? Kwa wale wenye shida ya kusafirishiwa magari yao kwenda mikoani au hawana uzoefu ma safari ndefu wanahitaji kusaidiwa karibu niwahudumie nina uzoefu wa miaka 4 katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta oven ya kuweza kutengeneza mikate 20 kwa Mara moja, iwe kubwa ya milango miwili , ni kama hii sample hapa chini....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Babarini wakuu,poleni na majukumu am currently look for lg v30 phone nipo dsm.
0 Reactions
4 Replies
759 Views
Samsung NOTE 3 16GB ram 3gb Bei 250k maelewano pia yapo Contact, 0629952357 Location ubungo dsm
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Vunja Bei: Nauza Brand new S6 Edge PLUS Gold Color, internal storage 64GB, 4GB RAM kwa bei powa.1.3mil. Nunua kwangu kwa 1.3mil na uokoe zaidi ya km 400k kwa real shop price. Pia kuna iphone 6s...
0 Reactions
47 Replies
24K Views
Habari za leo wadau, Naomba kujua kampuni au mtu amabe anaweza kusafirisha mizigo/vitu vya ndani (kabati, friji, kitanda, sofa na vingine vidogo vidogo) hadi Dodoma kutokea Dar. Kama yupo naomba...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Ni kichwa habari cha Riyawa fulani hivi kilikuwa kinasema Kama kuna member anacho kitabu hicho naomba tuwasiliane au kama mtu anajua kipopatikana anielekeze kilipo ahasanteni sana
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nina uhitaji wa bati 50 za mkopo kwa makubaliano ya malipo kwa awamu tatu, kwa maana ya kila mwisho wa mwezi kwa miezi mitatu, kama hutojali nicheki 068504720.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa anayehitaji mbolea ya kuku ipo inapatikana kwa bei nafuu kabisa Mahali: Namanga, barabara ya bagamoyo mbele ya kibo complex Mawasiliano: 0625516615. Karibuni sana.
1 Reactions
0 Replies
630 Views
NAHITAJI KUNUNUA NTA MKOA WA TABORA, MWENYE UWEZO WAKUNIUZIA KUANZIA KG 20 NA KUENDELEA, AWASILIANE NAMI MWENYE BEI NZURI ATAKUA NA UHAKIKA WA SOKO LA KUDUMU.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Are you interested in investing or working in ICT and related business? Are you graduate in ICT with Diploma,Degree in ICT related Disciplines? Are you resident of Dar es Salaam in nearby region...
0 Reactions
3 Replies
594 Views
Hii ni habari njema kwa wakazi wa Mbeya walipo Kabwe, Mwanjelwa na Soweto na maeneo jirani ambapo sasa wanaweza kuweka oda ya chakula na Fresh juice Online kwa kutumia Application ya Chakula...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Wajasiliamali wenzangu naombeni mnifahamishe nahitaji cooling milk tank naamini mpo mnaojuwa hivyo nawaombeni mnielekezeke asanteni
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Sabufu iwe harali! isiwe mbovu [emoji337] 0766857120
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwenye tairi za dili saizi 16/215 /70 Kwa ajili ya rav 4 tuwasiliane. WhatsApp pekee 0688195219
0 Reactions
1 Replies
691 Views
The Phone is brand new, never been used. In the box. Comes with an original Infinix charger, earphone simcard tray pin retractor and back cover. The phone goes for 550,000 in the shop but willing...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Qbscl co ltd inatafuta sehemu yenye mazingira mazuri....ghorofani ya kufanya partion kwa ajili ya kuweka ofisi na madarasa ya chuo. Maeneo mazuri hapa dar es saalam.....Tupigie +255 222180769...
1 Reactions
1 Replies
979 Views
Ni vizuri kujua, siku neema zikinitembelea nachukua ufukwe mmoja huko. Je kuna madalali kama hawa wa huku bara. Je na kwenyewe wanachaji pesa ya mguu. Vipi siwezi pata usumbufu wa kiimani...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Kama utahitaji huduma hii tuasiliane napatikana vikindu mkuranga nnje kidogo na dar 0655 595954 0687 056309
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napatikana vikindu mkuranga nnje kidogo na dar 0655 595954 0687 056309
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom