Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hii Gari inauzwa Milioni 3.9 kama unavyoiona imetunzwa vizuri sana. Service yake inafanywa mara kwa mara. Ni gari ambayo unanunua na kuondoka, haigongi chini na ina shockups genuine mpya nyuma na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Picha Hapo Juu ina Mahusiano ya Moja Kwa Moja na Maelezo Hapa chini na Moja ya Kazi Niliyofanya. Habari Nafanya Restoration ya Taa za Magari ya Aina zote kwa Gharama Nafuu Kabisa ya Shilingi Elfu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nahitaji vijana 5 waliotayari kwa ajili ya kupata mafunzo ya kuflash simu (sofware) mafunzo nitayaendesha zilipo ofisi zangu kigamboni. kwa muda wa wiki2 mfululizo watakao kuwa tayari naomba...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Mwenye nayo anipatie bei....
0 Reactions
4 Replies
803 Views
habari wadau.. natafuta laptop nzuri ya kufanyia kazi... kama graphic desidgner.. karibuni wenye nazo.. mnaoziuza....isizidi laki 8.. wajanja wajanja mkae pembeni.. najua nachokitaka... leteni...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
naombeni msaada kwa MTU anayefahamu sehemu za wanunuzi Wa Nafaka kama maharage kwa jumla Wa uhakika kwa dar es salaam,
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye kufahamu wapi naweza kupata photopolymer resin kwa ajili ya kuengenezea mihuri. Naomba kufahamu ni duka gani zinauzwa kwa hapa dsm.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Rejea kichwa cha habari, wakuu nina shida ya bidhaa fulani kutoka india, ni raw materials zipo katika liquid form, ila zimepakiwa kwenye galons na zinauzwa kwa kilograms, ambapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza fridge aina ya LG Milango miwili bei 370,000/= Pia Washer machine aina ya WESTPOINT Bei 230,000/= Unaweza kuja kuona na kuridhika navyo napatikana Dar Sababu ya kuuza.:Nahamia mkoani...
4 Reactions
73 Replies
8K Views
Mshindi wa droo ya kwanza wa promosheni ya Shinda Zaidi na SportPesa inayoendeshwa na kampuni ya kubashiri Tanzania SportPesa amepatikana leo Ijumaa 21, Septemba 2018. Ntale Lusalula Rajabu (21)...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kuna mtu humu analifahamu kampuni lolote ambalo limeshapata Power Purchase Agreement na Tanesco na linatafuta muwekezaji kwa ajili ya kuzalisha umeme wa solar kuanzia 50-200MW anitafute kwa...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
LAPTOP IWE DELL AU HP IWE MIN AU KAWAIDA ILA ISIWE NA TATIZO NINA LAKI MBILI KUSHUKA CHINI GOLODO LIWE 5×6 LISIWE NA KUNGUNI NIPO DAR 0742989953
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Nauza bei chee 430000/= Ipo Dar es salaam ubungo Mazungumzo yapo nipigie kwa 0653830835
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Tablet inauzwa 120000 Storage 16gb Ram 1gb Camera 8MP Touchscreen yake imecrack ni ya kubadilisha Imetumika miezi 6 tu Nje ya hapo haina tatizo lingine lolote. Karibu pm kwa interested buyers
0 Reactions
2 Replies
898 Views
Wakuu nina pesa kiasi cha 200,000 nahitaji PC either mpya au used iliyo ktk khali nzuri Battery iwe ina uwezo wa kukaa na charge masaa 2 nakuendelea Itapendeza kama utaweka Aina ya laptop...
1 Reactions
5 Replies
804 Views
Jipatie hostel ya kisasa kabisa; Ipo Kigamboni, vyumba ni masters kila kimoja shared,umeme wa solar upo,maji yapo,karibu sana na pantoni,inafaa wanafunzi wa ifm,cbe,utumishi,mnma.bei 60,000 kwa...
1 Reactions
3 Replies
839 Views
Nahitaji Toyota IST namba D... Tafadhali tuwasiliane haraka Budget Mil 7.8 kama kichwa cha habari kinavyosema kama una hiyo gari katika hali nzuri naomba uni PM ili tuweze kuongea Biashara. UWE...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania Network Exhibition (NETXPO) is an annual exhibition event held in Dar es Salaam, Tanzania targeting internal and external network service providers, traders (local and international...
1 Reactions
0 Replies
486 Views
Back
Top Bottom