Nyumba mpya ya kisasa inapangishwa maeneo ya Mbezi beach- Africana. Vyumba3 self-contained kimoja master bedroom, sitting room, kitchen, public toilet, store, parking kubwa,Nyumba safi...
wakuu samahani kuuliza sio ujinga hivi bei halisi ya mtungi mdogo wa gesi pamoja na jiko lake sh ngapi hapa dsm maana huku nakoishi kitunda kuna maduka yanauza 65,mengine 78 hivi bei halisi ipi...
Salaam,
Nyumba inauzwa ipo banana (KITUNDA)
(8km from airport)
Maelezo:
Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master bedroom), jiko, sebule, store, dinning room na public toilet.
(Ukubwa wa...
Zana za Kilimo za uhakika with guarantee kutoka Uingereza.
Tractors, Machinery, parts za zana zote za Kilimo.
Zote full shipping Full Container Load (FCL/LCL) to Dar es Salaam
+44(0)1380 723986...
Yeyote mwenye kutoa huduma ya kilimo kwa njia ya tractor.
Nahitaji huduma hiyo. Mahali shamba lilipo ni Magoza mji mpya kabla ya kuingia Mkuranga.
Ofa yangu ni 70000tsh kwa heka.
Zipo heka 30...
Wanajamii forums nahitaji tractor used bongo Ila ambalo liko poa na tayari kwaajili ya msimu ujao wa kilimo. Aina iwe Massey Ferguson HP 165 au 375, au jingine linaloweza kuhimili na rahisi kupata...
Wanabodi na wajasiriamali husika na kichwa hapo juu.
Hii ni tractor aina ya MASSEY FERGUSON.
inauzwa na jembe lake kabisa.
Lipo Dsm, ila biashara inafanyika ukiwa popote.
Bei ni Milioni...
Nahitaji Toyota IST namba D... Tafadhali tuwasiliane haraka Budget Mil 7.8 kama kichwa cha habari kinavyosema kama una hiyo gari katika hali nzuri naomba uni PM ili tuweze kuongea Biashara. UWE...
Msaada wapi hizi material zinapatikana kwa hapa Dar, inawezekana jina likawa geni kwa wengine, ila ni liquid inayotumika kutengeneza mihuri ya mashine, mwenye kujua tafadhali tujuzane walipo...
habarini ndugu zangu gesi550 ni jina la gesi ya biogas inayo tengenezwa na kuzwa kama gesi zingne tofauti ya gesi hii tuna kupa na mtambo wa kuendelea kuzallisha gesi hadi mwisho wa maisha...
Ninauza lunchboxes kwa wafanya biashara wa jumla.Yaani mfanya biashara ananunua ili auze dukani kwake.
Kwa mzigo wa lunchboxes 10 ni laki 3 (300,000/-)
Faida ya kuwa na lunchboxes za aina hii ni...
Sony wireless microphone, Tsh 40,000/-
Below 100 metres
0-60 metres
High Frequency
Quality deliverable sound
Tunapatikana kariakoo, tunatazamana na kituo cha mwendokasi cha Gerezani
**mikoani...
kwa mahitaji ya LOGO za biashara yako, kampun na hata mtu binafsi.
Tunatengeneza kwa sh 50,000 tu.
ntafte Whatsap no 0654213122.
SMS only.
hzo n baadh ya kaz zangu;
0654213122 whtsapp
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.