Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti SportPesa Tanzania Ndugu Tarimba Abbas akizungumzia promosheni mpya iliyozinduliwa na kampuni hiyo ijulikanayo kama SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA, pembeni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo juu(blackberry q5),inauzwa.. Back Camera:5mp Front Camera:2mp Internal memory:8gb Ram:2gb Ina 4G network NI screen touch pia ina keypad Kwa matumiz mazito sana Inakaa na chaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
desktops 1. Dell, Hp, Compaq (OPTIPLEX 320) sifa: -RAM 1 GB -PROCESSOR-3.2 GHZ -HARD DISC 160 MLANGO- CD WRITER BEI KWA KILA MOJA KWA HIZO ZA JUU NI 160,000/= BILA MONITOR UKITAKA NA MONITOR FLAT...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nauza bb q5 used bt in good condition haina tatizo bei 190,000/=fixed nipo dar nicheki 0688 206680
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari, Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza ila TV iwe imetumika kwa muda mfupi yeyote mwenye nayo nahitaji ndani ya masaa 12 kama unayo njoo PM andika bei na namba yako ya simu. Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa Huduma Zote Za Kiufundi Umeme Kila Kitu Kwetu Kinathaman Kubwa Xana Uku Tukizngatia Ubora Wake Na Utendaj Wake Kwang Mimi Ni Sehemu Pekee Ambayo Utapatiwa Huduma Zote Za Kiufundi Umeme Pamoja...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Ya mwaka 2000 Cc 1990 SR40 engine Haina shida yoyote 0764800989
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Kwa mahitaji Kuandikiwa mistari/lyrics kwa ajili ya nyimbo yako na graphic designing nicheck kwa hii email chini erajabu2212@gmail.com au ni PM.
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Kwa wadau na wafanya biashara wote wa matunda napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha kwamba kuanzia tar 20.05.2013 ntakua na mzigo wa kutosha wa matikiti maji.Natajia kua na takribani pc 110,000...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa anayehitaj pikipiki mpya boxer bm 150 inauzwa bei million 1.9 nipo mwanza Kwa mawasiliano zaid 0752092377
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Sim iko pow Imetumiwa for two months Ram 2 GB 16 GB Bei ni Tsh 185,000 Ina kava lake
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nina mbolea ya mavi ya popo natafuta soko la kuyauza debe 45.000/= maelewano yapo Napatikana Tabora Sikonge wale wanaopenda kilimo kisicho cha kemikali tuonane nikuuzie ni mboleanzuri ambayo...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Specifications 1. RAM 2GB 2. Processor 2.4 GHz 3. Software Mac OS X Lion 10.7.5 4. 13 inch 5. Serial Number 45102HFQF..... 6. HD 256 GB PRICE: 450,000/= (Negotiable) Location : Iringa Call &...
0 Reactions
3 Replies
841 Views
Wakuu habari za mchana huu. Natumai wote muwazima na mnaendelea katika pilikapilika za kulijenga taifa hili husika na kichwa cha uzi huu hapo juu. Nimelima muhogo katika shamba langu huko Tanga...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salam wakuu ! naomba mnifaamishe bei ya kununua pikipiki aina ya honda super cube cc125 mpya kwa maduka (masoko) ya dar-es-salam. Na ubora wa hiki chombo cha moto. Asanteni. Sent using Jamii...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu,nauza TV yangu ndogo nchi 14 aina ya THOMSON iko na remote,ni fully HD.. inafaa kwa matumizi kama ya Saloon. Nipo DSM. Kama ukihitaji ni PM uje tuitest. Bei 75000/=. Maelewano mpaka uione.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wadungu natafuta used tractor hasa Massey Furgason, ndani au nje ya nchi zenye bei poa. Hivi ushuru bado upo ?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mtu aliyeko Arusha anayeuza kuku bora wa mayai anicheki tufanye biashara. Asanteni
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Simu ipo kwenye hali nzuri Imetumika miezi miwili tu Ina rangi ya gold Camera 8mp Ram 2gb Rom 16gb Ina fingerprint Dirac speaker Haina shida wala tatizo lolote lile. Bei 200k tu! Kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom