Wadau napenda kufaham plain T-shirt ambazo zina ubora kwa hapa Tanzania nikimaanisha kwa wauzaji wa mikoa yote kiujumla bei yake ipoje kama mtu anahitaji kununua kwa jumla jumla sio moja au mbili...
Habari huku
Nahitaji mbao ya mninga ,mbao 400 zenye futi 8-10. Ama mbao ngumu isiyoweza kuliwa na mchwa kwa urahisi. Niko moshi bei za hapa zimenizidi uwezo kwahyo ambae tunaweza fikia bei...
Habari wakuu kumekucha kutafuta pesa sasa
Niende mojakwamoja kwenye mada tunahitaji kampuni ambayo inajishughulisha na EVENT ORGANIZE tunampango wa kufanya universally ya miaka kadhaa tangu...
I hope mko poa wakuu.
Direct to the point...
Kwa muda sasa nimekua interested na matangazo, napenda sana kusikiliza matangazo ya radio, tv hata nikiona tangazo (lolote tu lile) kwenye gazeti au...
Shule ina Mazingira Mazuri na Rafiki kwa utoaji wa Elimu Bora na Malezi kwa Mtoto. Wahi FOMU mapema, mitihani ya kujiunga itafanyika Oktoba 20, 2018 siku ya jumamosi.
Habarini za jioni,
Kama wewe ni mtumiaji wa machine ya EFD nauza paper rolls na ninakuletea mpaka dukani/ofisini kwako.
Delivery ni bureeee kabisa.
Karibuni wapendwa no za simu 0767819395
Jipatie king'amuz cha dstv sasa na uenjoy burudani kama zote HV.
Kifurushi cha bomba ndani ya wiki hii
• UEFA Champions League – SS 8
• Serie A – SS 8
• CAF Confederation Cup – SS 9
• Zambia...
Location: Dar es Salaam
Processor: Intel Core i3 (6th Gen)
Hard Disk: 500 GB
RAM: 4 GB
Operating System: Windows 10 Pro 64-Bit
Additional Software: Microsoft Office Professional Plus 2013
habari wadau..
mimi ni dobi.. katika kufanya expansion ya biashara yangu nimefanikiwa kuingiza machine kubwa sana kazaa.. ambazo per day naweza fua nguo 1000 bila shida...
naona kama mashine...
Nipo mikoani naitaji kufanya biashara ya mahindi pamoja na choroko.
Kwa ambao mupo mjini na mnahitaji mzigo tuwasiliane tafadhali.
Mahindi nauza kwa gunia na choroko kwa kilo.
Bei ni maelewano,kwa...
FHabari kama kuna mtu anaitaji frem kwa ajili y biasharaa..
Eneo-ubungo opposite na moveck hotel barabaran kabsa...
Kodi-180,000 kwa mwezi kod kuanzia miez 6..
Hamna udalali
Nichki inbox kwa...
AKILIMALI COMPANY ni kampuni inayo jishughulisha na shughuli za DESIGNING AND PRINTING kwa gharama nafuu kabisa, Tunapatikana UZURI SINZA DAR ES SALAAM.
HUDUMA ZETU:
TUNA DESIGN NA KUPRINT;-...
Gari aina ya rav 4 milango mitatu inauzwa dollar 1800 ipo vizur kabisa ila imesajiliwa kwa namba za ubalozi imetembea Km 122625 cc 1990 za kuibadili kuja kiraia ni jukumu la atakaee inunua ipo...
Mayai yanapatikana kwangu tray 1 @8000/= ukichukua tray 10 na kuendelea bei @7500/= na ukiwa mteja wetu wa kila siku kwa muda wa kuzidi miezi miwili bei tutakupunguzia kuwa tray 1 @7000/=...
Nauza A/C bado ipo kwenye hali nzuri haijatumika muda mrefu reason ya kuuza kuhamishwa eneo nilikuwa nafanyia biashara nabsitaendekei na biashara hiyo ilinunuliwa mpya 1.3 naiuza 800k..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.