Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tumia mchanganyiko huu wa viungo asilia kwa ladha nzuri ya chai yako na afya bora..weka oda yako sasa.piga 0754955846.sh 3000..MORNING ARE JOYFUL WITH JOY TEA MASALA...karibuni
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari wana JR ! Kiwanja kinauzwa maeneo ya kigamboni Chenye ukubwa wa sqm 555 , kina hati na bei Tsh 9,000,000/= hakina dalali maelewano yapo pia . Ni pm kama kama utakua interested.
1 Reactions
9 Replies
856 Views
Je wewe ni mtu wa kuchat sana na unakosea herufi mara nyingi ukitumia simu za touch zisizo na physical keyboard? Simu hii ikiwa na full qwerty keyboard inayokuwezesha kuandika kwa uharaka zaidi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari Wapendwa, Kama kichwa Cha Habari Kinavyosema, Natafuta Simu Samsung Galaxy Note 8+ na Budget Yangu Ni Tsh Mil 1.2
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu kwema, nahitaji gunia 100 ya alizeti aliyenayo aweke bei yake hapa gunia au kwa kilo ni sh ngapi anauza na mahali ilipo.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Karibu ujipatie mbeleko za kisasa, ongeza raha ya kubeba mtoto wako kwa kupendezesha muonekano wenu pamoja. Ritte Baby Sling itakurahisishia kumbeba mtoto mpaka mwenye 15kg... Wakati Ritte Baby...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu naomba msaada wa kupata charger original ya HTC ONE M8 Charger yake niliyonunua pamoja na simu nilisahau guest house mjini DSM napatikana mbeya kwa sasa,Mawasiliano 0788643144...
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Habari za leo Natafuta gari Toyota Crown Athlete series Mwaka: Kati ya 2004 mpaka 2008 Engine isizidi 2500Cc Iwe ni 4WD (Kwa sababu mara chache chache huwa nasafiri kwenye barabara zenye...
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Anayeweza kuniletea mahindi au nipate mahindi kwa bei ya chini kama gunia tano kwa ajili ya matumizi ya nyumbani . Bei zipoje kwa watu wanaosafirisha tokea mkoani? Ni pm kama unayo
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Habarini wadau nahitaji nyumba maeneo ya Mikocheni chumba na sebule jiko kwa bei ya laki na nusu naombeni Msaada anayejua
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Subwoofer iwe mali halali bei isizidi elf50 [emoji338]0766 8571 20
0 Reactions
6 Replies
999 Views
Nahitaji kitanda cha chuma chenye vipimo tajwa hapo juu, kiwe kizima na hakijachakaa ntatoa 180k
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Simu ni mpya ina 16 gb 270 maongezi kidogo yapo Call: 0712756342
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za leo wapendwa Naona makampuni kibao yanatangaza kuuza viwanja kwa njia za mikopo ambayo unaweza kulipa hata kwa miaka mitano.Nimekuja hapa nataka kama kuna anaejua kampuni yoyote...
1 Reactions
26 Replies
9K Views
Kwa mahitaji zaidi wasiliana nasi kupitia namba hizi 0714453589 0621711451 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Lipo Kiwangwa kwenye kijiji kinaitwa Masugulu. Lina ukubwa wa eka 30, eneo ni zuri kwa uwekezaji wowote. Bei ni TZS M40. PM kwa maelezo zaidi na negotiations. Akhsante.
0 Reactions
3 Replies
802 Views
Wadau kwema, Nipo katika mchakato wa kufanya utafiti juu ya soko la miwa kwa hapa Dar es salaam. Kuna mambo ambayo ningependa kuyafahamu kwa wale wenye uzoefu na ufahamu mtakuwa msaada sana...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wadau mwenye uhitaji wa kuku wa kienyeji kutoka SGD tuchekiane nauza kuku wa kienyeji pure ambao tunawakusanya Vijijini bei nafuu kabisa majogoo na makoo tunasafirisha kwa waliopo mbali uaminifu...
2 Reactions
31 Replies
10K Views
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa...
1 Reactions
61 Replies
20K Views
Kama kichwa kinavyojieleza... Nahitaji flat screen kabila la LG, Rising au Home base LED inch 32. Nina 320000. Kwa Mwenye quality products nichek whatsapp no 0757250913. Niko Songea. Naomba...
0 Reactions
3 Replies
611 Views
Back
Top Bottom