salaam,
nyumba inauzwa ipo ukonga, kichangani (kituo cha madafu)
ni nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sitting room, dinning room, jiko na choo.
MAELEZO mengineyo.
ina eneo lenye ukubwa wa...
Ni nzito imetengenezwa kwa matunda halisi no added flavour
Usafi umezingatiwa.
Unaletewa na take away cup 12
Utaenjoy kama bachelor au na familia yako week nzima.
Dumu unabaki nalo...
Pata mkaa wa kisasa unaodumu kwa muda mrefu kwa kupika chakula kingi na husio na Moshi being ni Tsht 700 kwa kilo moja pia kwa gunia ni 70000 tu karibuni tupo Mwanza simu namba 0758381277
Habar , nahitaji dalali ambae yuko tegeta anitaftie chumba cha kupanga ndani ya geti baget ef 50 maeneo tegeta, kisiwe mbali na kituo nikipata master poa
Tenda ni kubeba Makaa ya Mawe Kutoka Songea Tz kwenda Kampala Ug. Gari zinahitajika za kutosha na ofa yetu ni nzuri pia mzigo ni wa muda mrefu kwa maelezo zaidi
#0657385506
Je Unachukizwa na unjano, ukungu, uchakavu au taa zinazofifia kwenye gari yako? Usinunue taa mpya.. tuna suhulisho la kudumu kwa tatizo la taa zako... tunang'arisha na kuzifanya ziwe na safi na...
Habari wakuu
Kuna bajaj hizi mbili zinatumia mfumo wa nishati ya kuchaji kwa umeme kila baada ya masaa tisa. Hivi sasa nataka niunganishe mfumo wa kawaida wa nishati ya mafuta (petrol au...
MZIGO MPYA: DRYER YA KUKAUSHA mbogamboga, matunda, nafaka, samaki, nyama nk. Inatumia umeme, ina trays 16 za kukaushia. Material yake ni mazuri mno Stainlessteel 304. Bei Tsh 1,450,000. Ipo tayari...
Heshima kwenu wakuu, ninauza majiko ya kisasa kabisa ya mkaa yaliyo buniwa US kwa madhumuni ya kukupunguzia matumizi ya mkaa na kukuokolea muda wa kukaa jikoni.
Jiko hili mbali ya kukupunguzia...
Ninauza compressor used ila haijatumika sana hii ni maalum kwa matumizi ya Maabara na kwa madaktari wa meno, Aina JUN-AIR Model: OF1202 - 40BD, bei ni Millioni 1, hii compressor bei yake...
Masomo ya preform one kwa mwaka huu 2019 yameshaanza! Masomo yanayofundishwa ni english course, mathematics, biology, chemistry, geography na phyisics!! Tupo kinondoni mwananyamala mkabala na...
BIDHAA/ MAHITAJI YAFUATAYO YANAPATIKANA PIGA/ SMS 0621 258 157
TSh100
Dar es Salaam, Tanzania
printer ya epson l 805 (sifa yake inasafisha picha zote kuanzia ukubwa wa A-4, 5*7, 6*8, PASSPORT...
Wasalaam Wakuu,
All is Well.
Husika na kichwa cha habari....kijana mwenzenu nimejichanga vihela kadhaa na kutaka kufungua biashara ya car wash nijikwamue ki uchumi hapa jijini Dar.
Vifaa na...
Naomba kujua mahitaji na gharama (minimum cost) ya mashine ya kutengenezea mkaa mbadala inayoweza kuzalisha kati ya gunia 10 hadi 20 kwa siku....pia naomba kufahamu mahitaji mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.