Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wana jamvi na wakazi wa mwanza,, Ninayo furaha kuwatangazia duka la vifaa vya hardware na vifaa vya umeme katika mtaa wa rwagasore next to Mayi Hotel. Tunauza power tools aina za makita na...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wana jukwaa nahitaji compacter mashine ya mkono kwaajiri ya kushindilia kwa yeyote anayejua namna ya kuipata anijulishe
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari za kazi wanaJF Ningependa kutangaza upatikanaji wa huduma za kiufundi kwa wenye trekta na vyombo vinginezo vya ukulima kama vile combine harvester, generator, pump na kadhalika. Tatizo liwe...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavosema.. Nataka kuprint karatasi Size=a4 Coloured Matilio=hard papers zile kama wanazotumia kwa kalenda au bussness card Pia napenda kujua gharama ni ngapi per...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu hapa jukwaani. Nina jumla ya kilo 4662 stoo za ulezi safi uliokobolewa nauza kwa kila kilo Tsh 1050/= .Napatikana Dar es Salaam. Mnunuzi au yeyote mwenye uhitaji twaweza...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jipatie mtambo wa Solar utokane na changamoto za mishumaa na aina zingine za taa sumbufu. Wasiliana nami kwa namba 0754-533543 upate utaratibu wa kukopeshwa mtambo kwa masharti nafuu. HIZI NDIZO...
2 Reactions
39 Replies
15K Views
Page 1 of 2 11 Septemba 2018 TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Maxcom Africa PLC – Maxmalipo inapenda kuutaarifu umma kwamba, imeongeza huduma mbalimbali kupitia kwa mawakala wake wote wa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari ya asubuhi wana jf. Napenda kupata ushauri ninunue generator ya Kv ngapi inatayoniwezesha kupata mwanga na matumizi mengine ya nyumbani kwa kipindi hiki make umeme bado haujafika ktk eneo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Karibu waika's gallery..hapa utapata bidhaa zetu kwa rejareja,tupo dar pia tunatuma bidhaa zetu kwa wateja wa mikoa mingine . Bidhaa zilizopo kwa sasa: Handbags : zinatengenezwa hapahapa...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Sina hela ya kununua gari kutoka Japan,wala kwenye maduka ya magari hapa nchini,nina shs 3000000,natamani kumiliki ist ambayo haijatumika sana,najua wapo watu,wanamagari ya aina mbalimbali pamoja...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Habari wakuu, Naombeni kujuzwa wa ntapata godoro bora pande za hapa Dar. Ntashukuru sana mchango wenu ukiambatana na bei ila napendelea size 5 by6. Nawasilisha.
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wasiliana nasi, tuweze kukuhudumia. Njoo na mahindi yako, tutakukobolea na kukusagia kwa gharama nafuu. Huduma hii ni kuanzia tani 1 maana mashine zetu zina uwezo mkubwa wa kukoboa zaidi ya tani...
0 Reactions
7 Replies
947 Views
Habari wakuu.. Natafuta chumba cha kupanga kuanzia mitaa ya Mlimani city, Mori, Rufungira, Kwa Remi mwisho makaburini na mitaa karibu na hapo. Chumba kikubwa na self contained kitapendeza zaidi...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wanajf. Nimejenga kisima cha chini kwa ajili ya kuvuna maji ya mvua. Maji hayo nayapandisha kwenye tenki la juu ili kutumia ndani. Sasa pump yangu ya kudumbukiza kisimani iliharibika fundi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wadau ,nafanya biashara ya mikoba ya mtumba yaan pochi za kike mix na mabegi ya shule hapa dar.nahitaji kujua wap ntapata mabelo ya mikoba mtumba nje ya Tanzania Kwa bei ya chini tofauti na ya ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tunatoa huduma za ulinzi na usalama zenye viwango vya kimataifa na za uhakika, kwa bei zinazostahimilika. Kwa, Physical security (Manned Guards)- Normal/Armed/Dog Access control systems Intruder...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu salama, Naomba kujua ni Duka gani au suppliers gani wanavifaa vyote vya solar toka ujerumani! Nimekuwa specific nataka vya kutoka ujerumani, naomba msaada wenu, ahsante sana! Nawakisha...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Flat tv na sofa mbili zinauzwa bei maelewano. Location Iringa mjini semtema. Karibu PM
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Condition Brand new location Dar es salaam price 1.5m(negosiable) contact 0653887495
0 Reactions
19 Replies
8K Views
BRAND NEW PHONES [emoji336] All phones are original Samsung Note 1 - 227,500 Samsung Note 2 - 273,000 Samsung Note 3 - 395,000 Samsung Note 4 - 462,000 Samsung Note 5 - 672,000 Samsung Note Edge...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom