Habari wadau,
Wakuu nauza kiwanja mbezi malamba mawili kina upana wa 20m kwa urefu wa 27 kipo eneo lilichangamka sana, ni umbali wa mita 300 kutoka barabara kubwa mpya ya lami ya kinyerezi mbezi...
Viwanja vipo Kigamboni Mbutu-Mkwajuni. Vimepimwa na vina mawe, Mnunuzi atamalizia kufwatilia Hati (Title Deed) kwa jina lake.
Vina ukubwa tofauti tofauti , umeme umefika na panafikika kiurahisi...
Sisi ni wajasiriamali kutoka Dodoma tuna wine yetu (semifinished)..ziko zaidi ya liter 100,000 ambazo ni pure.na tumetageti zaidi wanaofanya packing na wanywaji wengine.tunauza kuanzia liter...
Halow wadau,
Kuna jenereta LD Motors toka Asia zinauzwa kwa bei ya jumla yaan million moja laki mbili badala ya million mbili, tuna clear mzigo kuimport mwingine, ukinunua zaid ya kumi unashushiwa...
Habari.
Nipo bagamoyo-Sanzale kama kuna mdau yupo jirani na eneo nililopo ambaye ninayeweza nunua mayai ya kienyeji trei 1kila baada ya wiki tatu tuwasiliane.
habari wadau..
mimi ni dobi vunja bei..
nina branch no 1. sinza - ambayo inahudumia sinza nzima na maeneo jirani kwa pick up and delivery
branch no. 2 kigamboni inayohudumia kigamboni nzima...
A,aleykum warahmatullah wabarakatu naam ndugu zangu na wapenzi wa masomo yangu leo tutaendelea na uchambuzi wetu wa majini na VITIMBWI vyoa na HILA zao ikiwa ni sehemu ya 2 tuanzie hapa
SHWTANI...
Huu ni mfumo kwa ajili ya kuhifadhi kumbukumbu za wanafunzi kama malipo ya Ada,usajili na matokeo.
Mfumo huu umeunganishwa na Bank pamoja na mitandao ya simu kwa ajili ya kupokea malipo ya ada...
TUNAKARIBISHA MATANGAZO YA AINA ZOTE KWA BEI NAFUU KABISA KATIKA MTANDAO WETU
www.hibazone.com
BIASHARA NI MATANGAZO
TUFATE WHATSAPP KWA NAMBA HII 0629206801
Habari za muda huu wapendwa,
Ningependa tu-share bei ya mayai ya kienyeji mahali tulipo Mimi nipo mkoa Wa pwani wilaya ya kibiti huku kwetu hususani eneo ninalo ishi Mimi trey moja ya mayai ni...
Hello wana jf..
Nauza viwanja vya beach vipo viwanja 34 vyenye ukubwa tofauti kuanzia sqm 600 viwanja viko puna kigamboni dar es salaam..umbali kutoka ferry ni km 40,bei ni sh 8000 tu kwa sqm...
Habari za majukum u wadau, katika pita pita zangu mitaani nikagundua watu wa ili eneo niliyopo wanahitaj kubwa sana wa cd za bongo movie na zilizotafsiliwa so nataka nifungue library ili iweze...
Ndg wadau, tumekuwepo hapa kitambo tukinadi shuguli zetu za upakaji rangi kwa materials mbalimbali , baada ya wateja kuwa na imani na sisi, tumekuwa tukiulizwa maswali mengi yanayohusu masuala ya...
Habarin Wakuu,
kama kichwa kinachojieleza hapo juu ... specifications ya gari hiyo ni ,
cc. 2980
fuel; Diesel
Trans; auto
millage; 113,000kms
Price; 18M( maelewano yapo)
contact; 0758975807...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.