Kama kichwa kinavyojieleza sisi ni mafundi wa umeme wa majumbani na viwandani na tunafanya kazi za umeme kwa kufunga vitu vya kisasa na original kabisa na tunatoa guarantee kwa kila kazi...
Click hapa https://jamiiforums.com/KNhNwnJlXP na download app,ujiunge ujipatie zaidi ya 10GB kwa siku buree,HAKUNA KUNUNUA VOCHA TENA.kwa mtandao yote fastaaaa click hapo kabla offer...
Habari wana jf..
Ningependa kutambulisha kwenu asiliatz ni ecommerce site(tovuti ya kuuza na kununua bidhaa mtandaoni).
Asiliatz tofauti kidogo na ecommerce site zingine, imejikita zaidi kuuza...
Naomba anayejua Mullins/kampuni inayouza nguruwe wazuri ( wanaozaa watoto wengi na kukua kwa haraka) anijulishe. Nijibu humu au kwenye inbox binafsi: resbijura gmail.com.
Wakuu habari zenu!
Nimekuwa nahangaika kwa muda mrefu kumuogesha mbwa wangu kwa madawa mbalimbali ninayoelekezwa na maafisa wa mifugo kama cypertop na nyinginezo bila mafanikio ya kudumu.
Naomba...
Nahitaji tajiri au kampuni ya kununua pikipiki mpya au used ili niingie nae mkataba wa mwaka mmoja.
1. Ukinunua pikipiki mpya kila wiki nawasilisha tsh 70,000*wiki52= 3,640,000/= kwa...
Habari wadau!?
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo juu.
Natafuta Mashine ya kukamulia Juice iwe ya motor ya Umeme au ya ingine ya Mafuta
Iwe mpya au Used ila tu iwe kwenye hali nzuri...
Taa nzuri za mezani, ukutani, na ceiling zinapatikana hapa www.instagram.com/lampsdirect, tafadhali naomba unifollow,
Call/text/whatsapp 0655308308.
pia tuna group letu la taa . Lampdirect store.
Line iko safi haina shida unaweza kuja ofisin kwangu kuitest nipp ukonga dsm haina shida yoyote nakuunganisha na wakala mkuu nimenunua kutoka airtel makao makui nakuunganisha na wafanyakaz...
Najihusisha kukukutanisha na watu wanaojihusisha na maswala mbalimbali.
Wafuatao ni moja ya huduma ambazo tunatoa;
Maswala ya viwanja, nyumba, frem, magari, mazao mbalimbali, ma-house girl /...
Habari wakuu.
Nina ekari tatu Morogoro ninaziuza, shilingi laki tatu kwa ekari moja eneo lililopo ni kijiji cha maji chumvi,kilichopo karibu na Mkundi(yaani Msamvu halafu Kihonda halafu Mkundi)...
wana jamvi nina mpango wa kufanya biashara ya kusaga nafaka. Kwa wenye uzoefu na hii kazi naomba ushauri wa namna ya kupata mashine imara inayotumia umeme, bei zake pamoja na installation...
Nauza macbook pro retina
Version:2015
Size :13”
Ram:8GB
Processor:2.4GHz core i 5
Storage :128GB
In a good condition
Price 1.8M
Mobile:0788126474
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.