Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habarini wakuu, natafuta rim paper za A4, nahitaji box kama 50-100 inategemea ntakua nachukua mara kwa mara kama kuna mtu anaziuza kwa jumla anichek offer 30,000 kwa kila box na ntachukua nyingi...
0 Reactions
5 Replies
776 Views
Habari wakuu kwa yeyote aliepangiwa K'S ROYAL MBEYA MJINI hii ndo budget unayotakiwa uipange >school fee Tsh.2,330,000/= >hostel -self container room Tsh.350,000/= per year -non self...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Habari wana JF Ninaishi Jet Dar, nahitaji Bata Bukini, kanga weupe na kuku Kuchi au mbegu yeyote ya kuku wa kienyeji ya umbo kubwa. Mwenye nao aniambie anapatikana wapi Dar na bei gani nije...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta shule, Chuo au mwalimu wa muziki Dodoma. Mafunzo yawe siku za weekend tu kutokana na ratiba ya masomo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za mchana wana jf Mimi nimekuja hapa kuomba kama itawapendeza kunipa kazi Mwenye kuitaji ufundi Wa Gari nipo Kwa ajili ya kutoa suluhisho,Natengeneza Tenk za sheli ,pia za kwenye magari...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu? Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika. Shukrani sana
0 Reactions
19 Replies
6K Views
habarini wanajamvi Mimi naomba kuuliza kwa anaejua bei za rasta prima afro aina zote ikiwemo wavings,rasta zenyewe,jamii ya selfie rasta ni bei gani kwa kiwandani naomba kuuliza na je?wanafunga...
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Kitabu hicho kinaitw I can, I will, I must msaada jinsi ya kukipata Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Ni nyumba nzima yenye vyumba 3, Vyumba viwili ni self-contained na moja ya kawaida Nyumba imezungukwa na fence yenye maandhali yakuvutia Kwa mawasiliano piga 0714686229. Sent using Jamii...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kumbuka kupaua ni mara moja tu. Ukiharibiwa nyumba yako utakua umependa wew Paua nasi kwa bei nafuu,kazi bora na uaminifu wakutosha Pichani ni moja ya kazi zetu eneo la mbezi Msumi Dar es salaam...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF Naomba kama kuna anayefahamu gharama za kuchimba kisima kwa Dar anipe picha kamili,ikiwa nikuanzia kupima mkondo maji,Site ni Bunju karibu na mpiji natanguliza shukrani.
1 Reactions
70 Replies
32K Views
Habari, Natafuta mtu wa kunifundisha kutengeneza mabango ya taa haya ya kwenye frames za biashara. Kuna sehemu kuna fursa nataka niifanyie kazi. Nipo tayari kulipia huduma hii Napendelea mtu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Model: Verossa Mancf: 2002 Insurance:Compressive - End 29/05/2019 Price: 7.3M maongezi yapo Options:FM radio,DVD video player, Fully AC,New seat covers...imepigwa rangi bampa la mbele tu. KM ...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Je Unahitaji Nyumba Vyumba Viwanja n.k. Katika Eneo La Kigamboni na Viunga Vyake? Nyumba self contained kuanzia TZS 250,000 kwa mwezi Vyumba vya kawaida shared kuanzia Shs 40,000 kwa mwezi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwanja ukubwa square metres 690,Kina hati ya serikali Nyumba:Ina vyumba* 3 vya kulala,kimoja master,kuna public toilet,dinnig,sebule na jiko. Bei: 48M maongezi kidogo yapo Kuna sehemu kubwa kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakulima wenzangu na wengine mnaojua,bei ya mbaazi kwa gunia ikoje hapa Dar es Salaam au kwingineko? Tuhabarishane wakuu
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Nauza bajaji mbili used aina ya TVS, zinafanya kazi muda huu zipo vizuri hazina tatizo lolote. Zipo dodoma mjini. Piga namba 07171760 kwa mawasiliano zaidi. Bei 3.5M kila moja
0 Reactions
2 Replies
2K Views
available car for sale at our store Toyota crown plate c 11 m maongezi Gx 100 na back screen kal sana namba d 7m nissan Murano new condtion 16.5 Note 7.5 zinatafutwa Noah new model namba d iwe kal...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
PROJECTORS! PROJECTORS! Tunauza projectors mpya & zenye ubora mzuri kwa matumizi yote bei ni sh.550,000/= tu. Zinaonesha ukubwa wa nchi 50 - 130, zinaingia flash, memory card, HDMI, USB, VGA nk...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom