Wadau habari,
Naweza pata eneo la wazi, au mahali pa kuuzia chakula maeneo ya kinondoni?
Angalau sehemu ya kuweka meza 10 za chakula, kwenye hii barabara yanapopita mabasi ya makumbusho -...
NINI: Bajaji mbili zinauzwa
WAPI: Chamazi Tambani, kupita Azam complex
ZIKOJE: Ni bajaj mpya, zimeendeshwa kidogo.zinatumia umeme kidogo ukichaji na kukuwezesha kuendesha masaa zaidi ya tisa.Pia...
Habari zenu wakuu,nimehamishiwa kikazi wilaya ya Handeni hivyo nahitaji nyumba nzima yenye uzio wa kuegesha magari kuanzia mawili kama kunamwenye nayo humu basi muhitaji nipo hapa
Modern diesel engines require clean, dry fuel for optimum combustion, maximum power and the lowest emissions level. Dirt and water are enemies of High Pressure Common Rail fuel systems and can...
Nafungua Pharmacy, afrika sana. Natafuta pharmaceutical dispensers wawili walio sajiliwa.
Akipatikana anaye ishi maeneo ya Sinza, mwenge, kijitonyama ama ubungo itapendeza zaidi.
Kama ujuzi huo...
Nimelima ekari 4 za mihogo hapo Mlandiziziko tayari kwa kuvunwa! Natafuta Masoko!!
Pia majirani wengi tu wana mihogo wanatafuta Masoko!!!
Tuwasiliane kwa namba 0754 850 689 na 0762338922...
Habari.
Nauza Xiaomi Mi band 3 kwa Laki 1 tu yenye specifications zifuatazo:
-Inapima Mapigo ya Moyo (Heart Rate monitor).
-Inahesabia hatua ulizotembea (Steps counter).
-Inapima umbali...
SIMU ZA MEZANI (New models)
Bei ni sh 125,000/= tu, zinaingia laini yeyote (single & double), betri ya kuchaji, fm-radio, inatuma sms, loudspeaker nk.
Tupo Dar es salaam @ Temeke, deliveryipo...
Kichwa cha habari hapo juu chahusika, ninaomba kama kuna kijana ambaye ni technician wa civili engineering ambaye yuko mkoa wa Iringa au mikoa ya jirani tuwasiliane. Kuna biashara nataka...
Nyumba nzuri sana inapangishwa ipo sekei Nambere.Nyumba ina master kubwa na vyumba vingine viwili vya kulala vyenye makabati ukutani.Jiko lipo fully furnished.Sebule na Dinning ni...
Tunauza Kiwanja Chenye Ukubwa wa Sqm 300.
Kipo Goba Muungano, Umbali wa Kilomita 3 Kutoka Salasala.
Bei Tsh 6Milion.
Serious Buyer PM
Or amsumi360@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamii forum,ninauza mashine ya kusagia juisi ya miwa...yan ni mashine ofisi nkimaanisha mashine na kijumba kbsa na shelf zake....ni ya umeme na ni mpya kabisaaa....kwa bei chee,ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.