Mnunuzi au wanunuzi wa mahindi ya njano kwa ajili ya matumizi ya binadamu anitafute nina mzigo. Mahindi yamelimwa bila ya mbolea za viwandani, dawa za kuulia wadudu, na yamehifadhiwa bila...
Jipatie pedi nzuri kabisa nyingi kwa bei chee.. ina ujazo wa pedi 10 ndani ya packet. inauzwa kwa rejareja tanzania shilingi 3,000 kwa packet na jumla ni shilingi 2,500 kwa packet. jumla inaanzia...
Habari wana jf ...nilishawahi kuja humu kutangaza kuhusu uuzwaji wa nyumba iliyopo maeneo ya tabata segerea(maeneo kwa mashilingi)
SIFA ZA NYUMBA
1)Nyumba ina tiles na gypsum,umeme pamoja na Maji...
Habari wadau...mimi nina gari Nissan patrol iliyo katika hali nzuri sana especially engine..natafuta mtu mwenye gari ndogo yenye thamani isiyopungua mil 8 ambae ana uhitaji wa gari kubwa tuweze...
Ipo Bahari beach, imejengwa kama apartment 2 na kila moja ina vyumba 3
Na pia kuna nyumba ndogo ya nyuma yenye vyumba 2 self
Size plot 2500sqm
Imezunguushiwa fence na geti ipo
Bei 370ml
Hati...
Eneo lipo igawilo ukubwa eka moja
Sifa ya eneo
1. Linafaa kwa kilimo
2.lifaa kwa ujenzi wa nyumba ya kuishi etc
3. Linafaa kwa ujenzi wa hostel na nyumba za kupangiza
4. Lipo jirani na barabara...
Ubora wa gari lako unategemea na ushauri pamoja na maelekezo ya utunzaji wake,gari nyingi zinaharibika mapema kutokana na ushauri mbovu na kutozingatalia alama na dalili za viashiria.
Karibu Jeri...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya dege Kigamboni chenye ukubwa wa mita 35*35.
Kipo maeneo ya dege Kigambon jiran na yale magorofa.
Hakipo mbali na barabara.
Hakijapimwa ila kiko kwenye maeneo ya makaz...
Natafuta pikipiki aina ya vespa used ila iwe kwenye hali nzuri mie nipo Mwanza. Hata kama unamfahamu muuzaji naomba niuunganishwe nae, whatsapp 0753601095 bei inategemeana na muuzaj
Shekh Khassan Makarama sasa yupo Ungija ni yule mchambuzi wa majini,nyota na ndoto sasa ameingia Zanzibar anapatikana KIDIMNI KWA KANDURU wasiliana nae kwa no 0757144465au 0656228832
Usisumbuke...
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo juu nahitaji vijana wanne Dar es salaam ambao hawafikirii kabisa kuajiriwa baada ya kuhangaika kutafuta ajira
Cha kufanya njoo inbox nielezeee business...
Uwanja unaupana wa mita40 urefu mita50 upo mbeya jiji iyunga umeme maji barabala vyote vipo kasolo hati2 !bei mil 25 simu 0766 85 71 20 au 0653 53 89 71
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wakuu nauza iphone 6 plus mbili slightly used kama unavyoziona kwenye picha
iphone ya gold 16gb nauza laki 5 na 80 tu
iphone 6 silver yenye glass screen protector very clean laki 6 na 17...
Full boxed with Adapter
Specification;
Hp
RAM 4GB,
Hard disc;1Tr
Core i3
Battery inauwezo wa kawaida sio mkubwa sana.
Soft ware iko up to date with apps,games and movies kibao
Haina tatizo lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.