Kama kichwa cha habar kinavyosomeka.
Nauza kiwanja changu .
Tayari kimejengwa msingi.
Kipo zanzibar Kianga
Eneo: 60 kwa 50ft .
Nakaribisha wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini ndugu, naomba kujua wapi nitapata pump aina ya axial flow pump kwa ajili ya umwagiliziaji wa mpunga ambayo inatumia engine ndogo kwa speed ndogo lakini maji yanasukumwa ni mengi sana?Nime...
Ili kuzuia kero tajwa hapo juu, weka 'PAVING BLOCKS' kwenye eneo la nyumba au ofisi yako.
•
Paving blocks ni vitofali vidogodogo vyenye nakshi za kupendeza vinavyo jengewa chini sehemu za mapito...
KWA MAHITAJI YA ASALI MBICHI YENYE UBORA WA HALI YA JUU NA HALISI KWA 100%
INAYOITWA JANE&SON HONEY ILIYOVUNWA KUTOKA WILAYA YA KISHAPU INAYOTOKANA NA MAUA YA MITI YA MIHALE NA MIGU TAFADHALI...
Zipo gari mitsubish canter mbili naziuza bei nafuu sana kwani mimi ni mmiliki sio dalali wasiliana nami 0752048709 hii ina bomba engine 33 box ton 2 kwa picha zaidi what's up karibuni wateja bei...
Chuo cha ualimu cha al- haramain, kinatangaza nafasi za masomo katika ngazi ya stashahada ya ualimu wa elimu za sekondari (diploma teaching in secondary schools)
Wanafunzi wa kidato cha nne *...
Alaska Beverages and Catering Services, Dar Es Salaam, 0672071666
Tunatoa huduma nzuri za vinywaji aina zote katika kumbi za maharusi, mikutano, kitchen party, send off na sherehe nyinginezo kwa...
Ili uweze ku reclaim Diamond na kumpindua Zari tumia product hii.DERMA e products( derma e tea tree anticeptic ) hii ni ya mwili lainiiiiii mwanaume anateleza.Halafu DERMA 12,000 vitamin e creme...
Huawei 4G Routers come with 1 Adsl Port for Phone
Wahii mzigo ni mchache.
Price : 250000/=
Call: 07192231317
Mkoani tunatuma..
Location: Kijitonyama
Sent using Iphone X
Shamba linauzwa lipo Dodoma mjini mtaa wa Nala ni kilomiter 15 toka mjini kati(Jamatini) barabara zinapitika bei yake ni laki Saba tu (700,000/=) kwa heka moja na zipo heka nne karibu sana kwa...
Habari za kazi?
Poleni na majukumu samahani kwa anaefahamu taratibu na vigezo vya kupata msaada wa tasaf atusaidie,lengo ni kujua vigezo gani vinatumika na ni kiasi gani walengwa wanapatiwa na...
Kama una kitu unauza dalali nipo hapa nina network ya uwakika utakiuza fasta
1gari
2)PC
3)kiwanja
4)shamba
5)kontena nk
Nicheki kwa biashara pia naweza kuwa agent wa duka au kampuni yoyote...
Kuna mpunga unauzwa kwa bei chee, mpunga huu ulinyeshewa mvua wakati unavunwa...na hivyo ukikobolewa unakuwa na rangi mbili means original (nyeupe) na fake (njano)...kwa wale wanaohtaji huo mpunga...
Habar za muda wadau
Ninauza Kiwanja changu kilichopo mbezi Msakuzi NJIA ya kuelekea mpigi magohe Kiwanja kina barabara kuna Maji ya chumvi Kiwanja Jirani nguzo ya Umeme IPO Kiwanja cha pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.