Habari wana jf, baada ya muda nimerejea tena online kwa wana Mwanza kama kichwa kisemavyo nahitaji magari aina zote ya kisasa, kizamani, yanayotembea, yaliyoharibika au yaliyopata ajali. Kumbuka...
Wadau kama kichwa kinavojieleza .nimenunua harrier ina sport rims na tairi zake mpya kabisa ambazo ni size 20 .ila nimekuja kuenda kwa fundi wakati analikagua akasema size ya rims kwa harrier...
hello jf!
kampuni yetu inaitwa Hieview international co Ltd,tuko mikocheni nyuma ya nyumba za mawaziri,tunauza matairi mapya ya magari kwa bei ya jumla,matairi yetu yanaitwa roadcruza kutoka...
Gari nzr sana n iko kwenye hali nzr inauzwa
Mwaka 2003
Cc 1290
Bei 5.8m
Maongezi zaidi nakuja kuona wasiliana nami kwako
0756060183
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninauza mchele wa kahawia (brown rice), kwa anaehitaji anaweza nicheck PM tuka-arrange namna ya kukufikishia mzigo.
Kwanini mchele wa kahawia (brown rice)?
- Una madini zaidi ya manganese...
Wakuu habari za humu!
Naombeni msaada kama kuna mtu anayejua sehemu ambayo naweza kupata vitoto vya nguruwe wa kisasa/vifaranga kwa Arusha.
Nina mpango wa kuanza na idadi ya 25 halafu baada ya...
Habari za mshughuli wakuu, kwa kuwakilisha tu kama kuna mtu anashughulika na lorry za mchanga, kokoto na kadhalika maeneo ya mwasonga kigamboni aje hapa kuna kazi zinahitaji trip za mchanga (lorry...
Wakuu nauza glasa cover ya screen ya macbook pro laptop.Cover ni mpya kabisa ipo kwenye box lake.
Nicheki DM tufanye biashara.
Bei ni 90,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wadau,
Ninauza shamba zuri na tambarare liko karibu sana barabara.Linauzwa Kwa Shilingi za Kitanzania milioni kumi lakini maongezi yapo pia.Shamba liko Kimbiji kwa Morisi...
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha MAJI ya kunywa cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi...
A,aleykum warahmatullah wabarakatu naam ndugu zangu katika imani na ndugu zangu katika Adam leo ni siku ya jumatano ni siku ambayo hutumia kuelekeza aina ya dawa fulani kwa wenye matatizo fulani...
Habari wanajamvi,
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu, hivi ninawezaje kupata mavazi ya kuvuna asali?
Wakuu habari zenu wote. Ndg zangu naombeni msaada wa kunijulisha wapi naweza pata...
Wapendwa habarini za mida, bila shaka mu wazima wa afya njema, ninauza laptop dell imetumika kwa mwaka 1 na mienzi 5 iko katika hali nzuri... Ninaiuza kwa sababu nina shida ya pesa ,,, Napatikana...
A,aleykum warahmatullah wabarakatu inshaallah tunaendelea na mfululizo wa kuchambua na kuangalia baadhi ya nyota na tabia zake.Hapa tunaangalia watu wenye nyota hizo wanatabia gani katika mapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.