Shamba lenye ukubwa wa ekari 10 linauzwa manispaa ya morogoro,sehemu inaitwa CCT karibu na kwa (RAS) mtu maarufu eneo hilo.kwa mawasiliano zaidi.
Phone no:+255756670101
Habari wana JF?
Outbox Tanzania ni kampuni inayodili na mambo ya Graphics & Designing, ofisi yetu ipo Sayansi Kijitonyama karibu na kanisa la KKKT Kijitonyama.
Outbox Tanzania inatoa huduma...
Unataka kuanzisah Mradi au una wazo la Mradi ambalo unataka kuliendeleza? Nikuhakikishie tu kwamba kwa Miradi ya kiubunifu (Innovative Projects); ruzuku zipo kutoka kwenye Taasisi za ndani (Local...
Pata huduma zifuatazo kwa gharama nafuu SANA;
Uibuaji na uandishi wa michanganuo ya Miradi (Socioeconomic, political and artistic project proposals)
Uandaaji wa Mipango Mkakati (Strategic...
Naitaji kuanza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya biashara
Lengo la kuanzisha uzi huu ni ili nipate elimu kwenu wanandugu ya aina gani ya kuku watakuwa na tija kwa kufuga ambao watataga sana na...
Wakuu, samahani kwenu wote kwa kuchukua muda wenu kidogo kwa kuisoma hii thread yangu.. Mimi naishi Dar es salaam ni kijana mdogo tu, natafuta kazi ya udereva kwa gari iliyosajiliwa uber au hata...
Habar wakuu,
Bila dalali kuhusika,inahitajika nyumba yenye sifa zifuatazo
Vyumba vinne(master)
Full tiles
Maji ya uhakika
Parking nk.
Iwe maeneo ya Tabata kimanga,kisukuru,external,tabata...
Kama kichwa kinavyojieleza nyumba ya vyumba viwili sifa za hiyo nyumba kuna vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master pia kuna choo cha public kiko ndani na pia kuna sitting room kubwa na yenye...
Wakuu Habari, Naitaj mtu anaye weza na mwenye mtaj wa kufungua M- pesa, Tigo-pesa na airtel - money, eneo ni mbez beach bonden, Karibu na kambi ya jesh lugalo. Mwenye uhitaj Pg no 0759657178...
nauza laptop used kidogo ipo very clean aina ya accer sifa zake ram gb 4, hard disk gb 1000, processor intel with Gz 2.16 speed, betry inalast masaa 5 kwa matumizi. bei 400,000 kwa mawasiliano...
Wadau poleni na majukumu ya siku,
Naombeni maarifa juu ya simu ya Nokia 6 kama ni nzuri na upungufu wake , nimepata kufikilia kuinunua ila naombsni msaada wenu kwanza hela yangu nisije nikaizika...
Kama una safari ya kuja Mbeya,Basi usisite na unakaribishwa Mgwasi Inn iliyopo eneo la Mwakibete-Ilomba.[emoji7]
Affordable Price: 25,000/=, 35,000/=,40,000/= & 45,000/=
Je unauza bidhaa yoyote used ya ofisini/ nyumbani/ binafsi?
Wasiliana na MYGULIO TANZANIA kwa namba 0735400000, 0762084961, 0763520912 ili bidhaa yako iweze kutangazwa kwenye website ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.