Sasa ndani ya App yetu ya maktaba unaweza kujisomea vitabu vyote vilivyomo bure kabisa. Ingia playstore na install Maktaba by pictuss APP.
Unaweza kusoma vitabu hata ukiwa offline. Link ya app...
KIWANJA KINAHITAJIKA; TEGETA/BOKO/BUNJU/GOBA/MBEZI JUU/MAKONGO/SALASALA.
KIPAUMBELE KWA VILIVYOPIMWA HASA VYA WIZARA/MANISPAA
BUDGET 20 MIL (INAWEZA KU-ADJASTIWA KULINGANA NA SATISFACTION)
Karibuni.
NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA?
Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini.
Mwaka 1991, ni mwaka...
Habarini! Kwa muhitaji na mfanyabiashara mwenye eneo viwanja vya saba saba Dar na anauhitaji wa turubai na kufungiwa idadi yoyote kwa makubwa na madogo yapo nakodisha hata ktk sherehe misiba nk...
Habari zenu maboss.
Karibuni sana, hapa utajipatia bidhaa kama vile mashuka, mapazia, mazulia, neti, mataulo, saa, picha za ukutani, coffee table.
vyombo kama sufria, hotpot, dinner set n.k...
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
Habari zenu boss zangu.
Karibuni sana, hapa utajipatia bidhaa kama vile mashuka, mapazia, mazulia, neti, mataulo, saa, picha za ukutani, coffee table, d, vyombo kama sufria, hotpot, dinner set...
Habari , karibu katika kampuni ya GCC wauzaji na watengenezaji wa vitanda aina ya PALLET (PICHANI) vitanda ni brand new design na ina meet your standards , ni kuanzia ngazi mbili na kuendelea ...
LAPTOP : DELL INAUZWA IPO. MOSHI MJINI MAENEO YA KCMC CHUONI , MAPIPA ROAD.....INA RAM 8GB , ROM 1TB. ..... SYSTEM TYPE NI 64 bit , ..INATUMIA WINDOW 10 Pro...
BEI LAKI 9
Karibuni 0672701329
SIFA ZA KING'AMUZI CHA CANAL+
1. Bei ya decorder pekee ni Tsh 130,000/=, bei ya decorder na dish(complete) ni Tsh 165,000/=.
Vyote hivi vitakuwa na kifurushi cha Tsh 40,000/= kwa mwezi mmoja...
Waungwana habari za majukumu.
Naitwa xx natokea maeneo ya mikwambe kibada kigamboni mkoa wa Da es Salaam.
Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari ndogo aina ya IST,SIENTA,n.k naitaji kwa...
Habari za muda wakubwa.naomba msaada kwa mwenye utaalamu wa biashara ya lubricant . Nataka kuanza hii biashara but sina uelewa wa mambo ya msingi yanayotakiwa customer wapo wa kutosha. Napenda...
Make: RANGE ROVER
Sajali wa namba E
Model: VOGUE LWB
Year of manufacture : 2015
Fuel: Diesel
Color: Brown
Leather seat
Panoramic Sunroof
Rear entertainment
Full Option
New registration
Massage...
Kiwanja kipo kigamboni kisarawe 2
Km 1 kutoka barabara kuu.
ukubwa ni 20 kwa 20
Kipo eneo zuri linaloanza kuendelea
Bei ni milioni 5 (mazungumzo yapo)
Hakuna dalali ni changu mwenyewe...
Wakuu salaam!
Kwa yeyote mwenye home theater mbovu, iliyoungu haiwaki, hauna kabisa mpango wakuilekebisha, hata Kama imeshatolewa circuit zake za ndani, yaani kifupi bovu bovu tu ninahitaji...