Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wale wenye new baby born kids au mnaotarajia, njooni mchukue kwa ajiri ya mtoto wenu. viko viwili (2) kila kimoja ni 140k + godoro bei ni fixed wakuu 0697224996
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Kwa wale mnaobanwa na majukumu mnashindwa pata mda wa kufua, machine hii Inafua Inasuuza Inakamua we ni kutoa na kuanika price-360k 0697224996
0 Reactions
0 Replies
210 Views
SOLD...! KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA KIVULE KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI KEREZANGE SIZE : 40 METERS X 40M SOLD SOLD OUT.... 🙏
3 Reactions
7 Replies
387 Views
  • Closed
SOLD OUT....! KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA KIVULE KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI KEREZANGE SIZE : 40 METERS X 40 METERS PRICE : 25 MILLIONS CONTACT : 0712 36 33 58. ALL SERVICES AVAILABLE HAKUNA...
2 Reactions
9 Replies
491 Views
Ongezeka Trading Co limited Tunakuletea Howo tipper lenye hp 380 kwa Tzsh mil 130 pamoja na ushuru, Kwa wale wanaohitaji kulipia kwa njia ya installments maelewano yapo. Pia unaweza kuagiza...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Habari za masiku wanajamvi. Ninakupatia bonge la ofa. Hakika hautajutia.
4 Reactions
114 Replies
7K Views
Kabati za nguo milango miwili zipo Bei 270000 tu. Ofisi ipo Goba ila popote inakufikia 0623265088.
1 Reactions
4 Replies
411 Views
Habari wana jamii forum Natumai mu wazima Tafadhali naomba kuuliza mwenye chimbo la mifuko ya 20kg /25kg kama ya azania/azam ambayo inakua rejected lakini mizima ambayo haijatoboka inawezakua...
0 Reactions
5 Replies
344 Views
Habari wanajamvi Naombeni msaada kuna mdada wa kazi nlikua naishi nae hapa nyumbani ametoroka usiku,na kaondoka na begi la ndugu yangu Katokea ifakara kyelekea morogoro mjini
8 Reactions
134 Replies
3K Views
Habari wadau. Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola. Bajeti yangu ni milioni 5. Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru. Kama...
3 Reactions
4 Replies
471 Views
Zipo PC 10 tu nazitoa kwa bei ya ofa ya 385,000/= haina punguzo Dell 3189 Touch screen✅ Intel cerelon SSD 128GB RAM 4GB CONTACT :0697224996
0 Reactions
2 Replies
354 Views
Maisha ni nyumba guys, na kabla ujenge lazima uwe na kiwanja. Hata usipoishi huko we jenga pangisha na uwe urithi kwa watoto baadaye. Ft. 60x50, kipo mbande, mwenyewe anashida anamgonjwa so...
4 Reactions
27 Replies
727 Views
Wakuu kwema? Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari zenu!! Nauza gari yangu sio dalali gari ipo vizuri sana... Nipo DSM Bei ni milioni 9 maongezi yapo
1 Reactions
1 Replies
228 Views
Ni zaidi ya ofa. Brand Name: Hp ProBook 640 G1 Generation type: 4th generation Storage: HDD 500gb RAM 8gb (1 out of 2 slots) Processor : Intel(R) Core(TM) i5-4210M CPU @ 2.50GHz (4 CPUS)...
0 Reactions
2 Replies
408 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…