Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wanajamvi heshima kwenu.nyumba inauzwa mjini njombe mtaa wa hagafilo.bei 75milioni.ina vyumba zaidi ya 15.imeisha,ina kila kitu,kwa maana ya umeme na maji.inawapangaji full vyumba...
1 Reactions
3 Replies
902 Views
Habari!Karibu Tongilo Trust solution wauzaji wa viwanja vilivyopimwa na unqkopeshwa bila dhaman yeyote. Unaruhusiwa kulipa Kwa awamu. [emoji1753]PATA BEACH PLOTS Kwa Million 6 Tuh (Installments 12...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
nauza dubwi 1700000, dogo 1200000
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari za leo! Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana: 1. Meza kubwa moja (imported) 2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka 3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi...
0 Reactions
2 Replies
439 Views
Habari za uzima? Nissan TIDA NAMBA EFU MILIONI 16 Gari bado ni mpya kabisa. Kwa mawasiliano zaidi karibu PM.
1 Reactions
13 Replies
681 Views
ZULIA ZA MTUMBA BEI 70K NJOO (0718909429) Friji ndogo laki 2 Pasi 50k
2 Reactions
6 Replies
611 Views
Habari wana JF Katika karne hii ya sasa bila elimu ya Technolojia flani itakuwa ngumu sana kufanikiwa kwani dunia yasasa ni ya kidigitali zaidi kwaio hutakiwi kupitwa na elimu ya technolojia kama...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Naombeni bei ya Laptop yenye specifications hizi Mwenyenayo
1 Reactions
7 Replies
727 Views
Mashine n mpya Npe 1.4M Kujieleza 📞📞07
1 Reactions
7 Replies
473 Views
Naombeni msaada wa daktari mzuri wa ngozi special case albinism ni haraka sana asanteni awe dsm!
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Habari wakuu Nauza vifaa vya saloon ya kike kwa ajili ya kucha na kutengeneza nywele ,vifaa ni bado vipya kabisa . Location Kinondoni Dar es salaam. Contact/namba;0623524725
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani Dodoma. Nina Dagaa nyama kutoka Tanga kilo za kutosha nahitaji kupata wanunuaji. Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie...
2 Reactions
9 Replies
930 Views
Wana JF naomba msaada wenu kwa Dar es Salaam naweza kupata wapi vitabu vya siku nyingi vya mwandishi mashuhuri Mohammed Said Abdulla. Nimetembea katika baadhi ya maduka ya vitabu bado sijafanikiwa...
2 Reactions
10 Replies
11K Views
Nina TAWI makumbusho nahitaji kijana mwenye kuweza kushirikiana nami kuiendea ndoto yangu mpaka nije kumpa share kwenye kampuni ninayoiota... Akiwa na elimu ya darasa lasaba lakini ana ugenius...
1 Reactions
1 Replies
302 Views
Kama una access nazo njoo inbox please..
0 Reactions
1 Replies
283 Views
Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi. Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Tunakodisha Playstation 4 Games zilizopo Fifa 24 GTA V Call of duty modern warfare Need for speed heat Mortal kombat Hogwarts Legacy bei ni kama ifuatavyo Saa tatu asubuhi hadi saa tatu usiku...
1 Reactions
1 Replies
385 Views
Nimenunua pixel 5 kwa ajili wife kasema kadogo anataka simu ya kujaa mkononi, naiuza bei hiyo ina wiki tu. RAM 8GB, 128GB STORAGE. HAINA SHIDA YOYOTE CHAJI INAKAA ASUBUHI MPAKA JION DATA IKIWA...
1 Reactions
7 Replies
507 Views
Mambo yasiwe mengi, Nahitaji supplier mwenye mfuko ya kilo 25 na kilo 50 kwa bei ya jumla alete quotation yake na contact au physical address tufanye biashara. Karibuni.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom