Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Usikubali Kupitwa Na Mvua Za Msimu Bila Kupanda Miti Shambani Kwako. Msimu wa Mvua ni mzuri kwa upandaji wa miti ya matunda pamoja na Ile ya mbao kwani hupunguza gharama za umwagiliaji na mahitaji...
4 Reactions
36 Replies
8K Views
Habarini za majukumu wakuu naombeni mniambie anayejua duka linalouza uniform kama zinavyoonekana pichani hapo
1 Reactions
10 Replies
465 Views
🔥🔥🚘🚘🚘 ON SALE (EEP) - SUBARU IMPREZA Price 14.5ML 0768160670 SUBARU IMPREZA ¥ KALI SANA Color 🖤 BLACK LOW MILEAGES Engine 1490 Low mileage New tyre Clean sana DAR ES SALAAM 0768160670...
1 Reactions
0 Replies
335 Views
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani. Kina ukubwa wa Square meter 1080 Bei million 13 kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
BRAND: GOOGLE PIXEL 6A Technology GSM / HSPA / LTE / 5G LAUNCH Announced 2022, May 11 Status Available. Released 2022, July 21 BODY Dimensions 152.2 x 71.8 x 8.9 mm (5.99 x 2.83 x 0.35 in)...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja Mbweni. Bajeti yangu Mil.70. Ukubwa at least 900sqm SITAKI MADALALI. Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364. Just Whatsapp...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Hivi water pump generators,,,brand name gani ni imara kwa shughuli za umwagiliaji?..ushauri unahitajika,,ikiwezekana ata bei nifahamishwe..Asanteni kwa wasaa wenu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu. Tafadhari rejea kichwa cha mada. Ninauza pikipiki yangu niliyokua natumia kwenda kazini yenye usajiri namba DEC bei Tsh 1,250,000 iko katika hali nzuri sana haijaguswa engine kabisa...
8 Reactions
9 Replies
760 Views
Harrier new model,Haina dosari Wala kipengele chochote Reg no DL,full Ac ,ni mpya nzuri ndani na nje safi. Ipo Dar Bei ni 18.5m tu Piga/ Whatsapp 0698235368
0 Reactions
3 Replies
472 Views
Habari wadau wangu natafuta chumba cha kupanga kiwe maeneo ya morroco, victoria au makumbusho au kigamboni kiwe kimoja, chenye hali nzuri sio bora chumba nataka kupanga kwa miezi 6 tu na si zaidi...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
SmartFundi Co Ltd The company deals with the total solution for house finishing and renovation, basically every work that is associated with constructions and/or decoration of the house. we also...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
OFFER PRICE:1,900,000 POOL TABLE SET COMPLETE GOOD QUALITY ORIGINAL PITCH TRIANGLE TOKEN BALLS BILLIADS CUES POOL CUES STICK
0 Reactions
3 Replies
444 Views
TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA. (HEAT INFRARED LIGHT BULB) >>SIFA YA TAA ZETU<<<< ●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri. ●Taa moja...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Wadau nina mzigo wa makaratasi yaliyotumika ikiwa ni pamoja na magazeti na majarida na vitabu kukuu. Kwa mwenye kununua au anaefahamu wapi naweza kuyauza msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
392 Views
Ninauza furniture za ofisini, Meza 3 yaani Executive desk 1, Conference table 1 (ya watu 4), na reception table 1, Viti 7, vyote hivi bado viko katika hali nzuri. Pia kuna Curtain blinds mbili...
0 Reactions
2 Replies
411 Views
Nauza Carton boxes kwa ajili ya kuweka bidhaa mbalimbali, ziko pcs zaidi ya 400 nicheki kwa namba 0744117116
1 Reactions
0 Replies
195 Views
Habari ndugu zangu. Nadhani kila mmoja wetu yupo hai kwa anae soma hapa. Kama kawaida mr .waziri nazidi kuwarahisishia wateja wangu kupata mzigo wa dagaa kutoka ziwa victoria kwa wale waliopo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
M-Gas ni kampuni inayoungwa mkono kimataifa. Tuna bohari zetu, mitungi ya gesi na magari ili kukuhakikishia kuwa unapata gesi (LPG)bora ya kupikia na huduma bora zaidi wakati wote. M-Gas inatumia...
9 Reactions
90 Replies
10K Views
Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon,awe wa kike au wa kiume,kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti...
3 Reactions
6 Replies
571 Views
Kama ilivyo kawaida Embassy yeyeto ila haiwezi kukupa Visa pasipokuwa na Sababu zilizojitosheleza , Leo ntaongelea Kwenye Kupata Mualiko 1. Mualiko wa haina ya kwanza ni pale unapokuwa na Ndugu ...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom