Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Toyota vitz Inauzwa milioni 6. Mazungumzo kidogo yapo. Milango mitatu, engine 1Sz cc 997 Mileage 104771km Android Radio (Screen) Full AC Ipo Dar Mbezi ya Kimara 0768882785 Update Gari...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Nauza suzuki vitara namba D gar bado mpya tangu imeagizwa toka japan haijatembea sana Gari ni ya mwanamke ni manual sababu za kuuza: ni manual transmission yeye anataka automati Location...
2 Reactions
12 Replies
863 Views
Wakuu habarini za muda huu, Natafuta mtu au watu ambao wanafanya kazi katika sekta ya utalii,naomba unicheki inbox nina swala nahitaji msaada. Nawakilisha
1 Reactions
7 Replies
368 Views
Mzigo umeuzwa ****THREAD CLOSED****
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Habari za jioni wanajf natumaini mko poa Naomba msaada wa kufaham soko Zuri la mahindi ndani na nje ya Tanzania lakn pia naomba kufaham namna ya kupata kibali cha biashara hii ya kusafirisha mahindi
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Tanzania fence factory:(0789020813) tupigie. Tunatengeneza na kuuza fence wire aina zote na senyenge Kwa bei ya kiwandani. 2.0mm bei yake ni 55,000/= 2.5mm bei yake ni 75,000/= 2.5mm(kijani)bei...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari watanzania! Husika na kichwa cha habari kwa MTU aliye na Gari ya kuweza kokoto kuanzia cubic metre 10 na anapenda kuitumia zana yake kujipatia kipato nione. Barabarani ni ya vumbi ama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa uhitaji nitafte 0684101707
0 Reactions
5 Replies
478 Views
Habari Naomba kujua Kama pikipik tajwa zinapatikana Mwanza na bei zake zikoje? Hasa hasa Kampun ya Honda au hata TVS JUPITER. Ahsante
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Wakuu naombeni mnisaidie ni sehemu gani apa dar es salaam wanauza digital satellite signal finder/meter, na bei yake ni kiasi gani?
0 Reactions
3 Replies
553 Views
Hello wakuu, Nipo dodoma natafuta Mwalimu atakae weza kunifua kwenye Boxing (yaani mapigano yale ya ulingoni kabisa) kama yupo naomba mawasiliano yake.
0 Reactions
8 Replies
441 Views
habari zenu poleni na majukumu, nina pikipiki aina ya tvs inauzwa nipo dodoma bei laki 9 kwa anaye hitaji anichek pm kwa mazungumzo zaidi Karibuni
2 Reactions
5 Replies
755 Views
Habari wakuu, nahitaji fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge. Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba...
0 Reactions
6 Replies
969 Views
Kwa wale wafanya biashara chuma hicho hapo wakuu Ni 65m tu Ipo Dar Piga/ Whatsapp 0698235368
0 Reactions
2 Replies
381 Views
Jamani nani anakioo cha laptop aina ya Lenovo, Think Pad model X260. Cha laptop yangu watoto walidondosha so kimepata hitirafu
0 Reactions
1 Replies
267 Views
Kwa yeyote alie na Land Lover 109 naomba awasiliane na Mimi
2 Reactions
82 Replies
20K Views
Shallom wakuu. Kutokana na maendeleo ya ukuaji wa sayans na teknolokojia zipo njia mbalimbal za kuzuia uhalifu nyumban kwako au eneo lako la biashara. Tumekuletea camera nzuri unayoweza kutumia...
1 Reactions
8 Replies
668 Views
150,000tsh call 0628 880 380 Pixel 4a 5G kila kitu kipo poa mstari tu umejichoraa
0 Reactions
2 Replies
372 Views
Tupo Karume,Ilala Viatuni mtumba Grade one Namba za simu 0689 150 968 0625 557 395
2 Reactions
7 Replies
794 Views
Kama unahitaji Mozarella cheese, cheddar cheese au Paneer cheese. Nitafute WhatsApp 0749220083 tufanye Biashara. Kwawasiyo zifahamu, Hua zinatumika kutengenezea Pizza.
1 Reactions
2 Replies
276 Views
Back
Top Bottom