Toyota vitz Inauzwa milioni 6. Mazungumzo kidogo yapo.
Milango mitatu,
engine 1Sz
cc 997
Mileage 104771km
Android Radio (Screen)
Full AC
Ipo Dar Mbezi ya Kimara
0768882785
Update
Gari...
Nauza suzuki vitara namba D gar bado mpya tangu imeagizwa toka japan haijatembea sana
Gari ni ya mwanamke ni manual
sababu za kuuza: ni manual transmission yeye anataka automati
Location...
Wakuu habarini za muda huu,
Natafuta mtu au watu ambao wanafanya kazi katika sekta ya utalii,naomba unicheki inbox nina swala nahitaji msaada.
Nawakilisha
Habari za jioni wanajf natumaini mko poa
Naomba msaada wa kufaham soko Zuri la mahindi ndani na nje ya Tanzania lakn pia naomba kufaham namna ya kupata kibali cha biashara hii ya kusafirisha mahindi
Tanzania fence factory:(0789020813) tupigie.
Tunatengeneza na kuuza fence wire aina zote na senyenge Kwa bei ya kiwandani.
2.0mm bei yake ni 55,000/=
2.5mm bei yake ni 75,000/=
2.5mm(kijani)bei...
Habari watanzania!
Husika na kichwa cha habari kwa MTU aliye na Gari ya kuweza kokoto kuanzia cubic metre 10 na anapenda kuitumia zana yake kujipatia kipato nione.
Barabarani ni ya vumbi ama...
Habari wakuu, nahitaji fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge.
Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba...
Shallom wakuu.
Kutokana na maendeleo ya ukuaji wa sayans na teknolokojia zipo njia mbalimbal za kuzuia uhalifu nyumban kwako au eneo lako la biashara.
Tumekuletea camera nzuri unayoweza kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.