Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za muda wadau! Kuna kazi Kubwa ya kutengeneza kokoto kwaajili ya ujenzi wa barabara. Kama una-crasher au unamfahamu mtu alienayo. Nitafute What'sApp kwenye namba (....). Zimeshapatikana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nokia 150 Display:- 2.4”QVGA Wireless FM Radio Camera with Flash [emoji367]Up to 19.4 hrs/23.4days/ Talk/standby time MicroSD card Support up to 32gb Price - 95,000/= Free Delivery [emoji598]...
1 Reactions
4 Replies
340 Views
HAYA ENEO LINAUZWA "UBUNGO RIVERSIDE" ,VIWANJA VIWILI KWENYE ENEO MOJA,KIWANJA KIMOJA KINA HATI NA KINGINE HATI IPO KWENYE PROCESS ILA KINA JENGO LA GHOROFA 1.HILO ENEO LILILOZUNGUSHIWA FENSI...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni hatua chache kutoka magunga hospitali Kuna umeme na maji, kipo flat Bei Haipungui Tsh 2,500,000 tu Nipigie 0746 266 267
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Dining table za viti 6 zipo mbili Bei 380,000/= Sofa 2:2:1 kama zilivyo pichan Bei 350,000/= zote Godoro 5/6 nchi 8 Bei 160,000/= Oven ya kupashia 20L Bei 95,000/= Mtungi wa Gase mtupu. 25,000/=...
6 Reactions
56 Replies
4K Views
Hello naitw pendo namiliki KIKUNDI kidogo kinachojihusisha na masuala ya kufua nguo. Duduma zetu tunatoa kwa njia ya mawasiliano. Tuanakufuata ulipo ndani ya dar es salaam Bei zetu ni kuanzia...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Kibaha kwa Mfipa Plot number 57 hiyo Kiwanja kimepimwa na kina Hati Sqm 600 Umbali km 2 toka moro road Bei million 6 Nina 20×40 million 7(km 2) Nina 35×20 kina hati million 8(km 1) Nina vya 20×20...
2 Reactions
4 Replies
923 Views
Habari zenu Nauza mbegu za michongoma. Zipo kibaha. Kwa anayehitaji kwa ajili ya kupanda kama fence kwenye kiwanja ama shamba lake anaweza nicheki kwenye namba 0758308193 na bei ni sh 10000 kwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamii. Kati ya post zangu za hapo nyuma niliongelea application niliyotengeneza ya kuondoa sauti za waigizaji kwenye movie za netflix ili niweze kuweka sauti za kiswahili. Kwa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Iwe na Engine 4A, 5A na Automatic Gearbox (manual tutaongea) Iwe imetunzwa vizuri hasa body liwe limenyooka Namba yeyote lakini bora zaidi kuanzia B, C, D Iwe popote tanzania iweze kufika Dar...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Ofisi ilikua inatumika kwa kazi 1 tu kudownload PESA wazee wa FOREX tunaelewa hayo mavitu yalivyo eeh. OFISI ina COMPUTER mpya (not refurbished) ni BRAND NEW desktop PC (HP BRAND 6TH GEN ALL IN...
7 Reactions
16 Replies
871 Views
JTC ni kampuni ya kitanzania inayojishughulisha na ujenzi wa Tarazo. Tarazo ni finishingi inayofanyika ktk sakafu au kuta za nyumba/jengo km zilivyo tiles/vigae, tarazo ni mchanganyiko wa vipande...
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Habari wakuu. Nauza laptop yangu Apple, Macbook Pro. Laptop hii nilinunua toka USA kwenye store za Apple kabisa. Display: 13 inch Processor: Core i5 Memory (RAM): 16GB Graphics: Intel 1.5GB...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Natafuta chumba kizuri sana mitaa ya Mwenge kiwe master, choo, bafu, jiko na mahitaji yote muhimu. Kiwe eneo lenye usalama wa kutosha na kiwe jirañi na lami. Chumba hiki ni kwa ajili ya wageni...
6 Reactions
8 Replies
990 Views
salamu wanajukwaa! nina shamba ambalo nimeamua nipimishe viwanja.nimepata mchoro toka wizara ya ardhi sasa nahitaji ushauri na bei elekezi za upimaji viwanja. eneo lina heka 20 liko mkoa wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji kifaa hiki kwa ajili ya ufugaji wa nyuki. Kinapatikana wapi kwa bei nzuri?
0 Reactions
3 Replies
462 Views
Habari,lengo ni kununua gari. Nauza bajaji yangu aina ya TVS king. Haina tatizo lolote. Ipo Dar Chamazi. Kwa mawasiliano njoo PM Bei milioni sita.(6,000,000)
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natumaini mpo salama Napenda kuchukua fursa hii kuelezea dhamira yangu ya kuwa mshauri wa biashara kwa wajasiriamali, wafanyabiashara, na kampuni mbalimbali. Ukitaka kufanya biashara yoyote ile...
1 Reactions
9 Replies
528 Views
Jipatie ZENADO HONEY, ni Asali bora inayo fanyiwa parkeging na Kampuni ya MKONDO INTERNATIONAL FOOD AND HONEY SUPPLIES LTD. ZENADO HONEY ni Asali bora iliyokidhi viwango vya kimataifa. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
657 Views
Back
Top Bottom